Ni rais ndani ya nchi yenye amiri jeshi mwingine,
Hana jeshi,
Hana nchi kwa maana ya ardhi, eneo la JMT ni pamoja na visiwa vya Zanzibar na Pemba,
Hana mamlaka kwa wananchi wake mamlaka yake ni ya kisiasa tu.
Anaongeza gharama za bure kwa watanzania.
Ni rais wa bendera.
Hana jeshi,
Hana nchi kwa maana ya ardhi, eneo la JMT ni pamoja na visiwa vya Zanzibar na Pemba,
Hana mamlaka kwa wananchi wake mamlaka yake ni ya kisiasa tu.
Anaongeza gharama za bure kwa watanzania.
Ni rais wa bendera.