Shemeji yenu

mjingamimi

JF-Expert Member
Aug 3, 2015
39,257
44,729
8f062f8f7272ecb20439b95c017fe113.jpg
 
Kijana unaiongopea mpaka dhakari yako......

Unakula tembele....mawazo kwenye nyama.....ukimaliza unachokonoa na stick....
Mzee mwenzangu tuwazoee huikumbuki hii waqt huo bitoz yupo na bint mzuri mara benz linakuja akajificha nyuma ya bint huku ananong'ona mother mother mother yule bint ikabidi amakinike kuitizama ile benz akapatwa na mshangao benz anaendesha mzungu ilibidi amuulize mama yako mzungu ? bitoz kwa kujibaraguza aah mother bwana anapenda sana kuwaazimisha watu magari mshua hapendi sana jambo hili .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom