zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #21
<br />Msitumie makosa ya walopita kufanya ndio usahihi kwenu, mnajua wao walipatwa na nini kwa kuoana ndugu? Jikaze na wewe bana, mnajirahisi mno na nyie!!! Waswas wangu utakua ushapiga afu ndo unatwambia ili uone kama ulikua upo sahihi. Afu eti yupo <b><i>sield</i></b>....! wew je, upo sield au ndo utamsaliti huyo uliyenae? Siamin kama huna...... Ila poa, eti mamako mdogo kifaa. Utanambia siku nyingine kama ulikubali. cjui ndo utaoa na ww alikoolea babako?
<br />
Cjatumia kbs,kusema yuko sield hayo ni maneno yake na anauhakika kama ntakuwa mpenzi wake basi ndo ntakua wa kwanza kumuingilia kimwili,naposema kuwa ni mzuri ni sifa ya kawaida na haina mahusiano na maamuzi yangu.