shemeji yako atakukumbusha kwa vitendonitakuwa nimeusahau mkuu kama vip nikumbushe!
hakuna cha kutisha duniani yote yanayotokea ni yale yale yaliyokwisha tokea beforeduh! mkuu unanipa wasiwasi
shemeji analalamika simpigii simu na anataka kuniona me nipo busy na ishu zangu kwani lazima nifanye anavyotaka yeye si mpaka niamue mwishowe uvumilivu utanishinda!
nisaidie mawazo shemeji analalamika sana mpaka namuonea huruma na mtu wake ni rafiki yangu!