Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,441
Habari wakubwa, mimi ni kijana (early 20's)..pia ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kimoja hapa jijini Mbeya.
Lengo kubwa la kuandika huu uzi ni kuwaomba ushauri kwa haya machache. Ipo hivi, nyumbani kwetu tumezaliwa watoto wa kiume wanne, yan mimi na kaka zangu wakubwa watatu.
Mwez wa kumi na mbili mwaka 2017 tulimpoteza kaka yetu mkubwa ambaye alifariki kwa sababu fulani fulani(sio muhim kuzi expose hapa), bro alishawahi kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ambaye walikuja kuachana kwa sababu ya yy (kaka) kugundulika kuwa amempa mimba mwanamke mwingine, kiukwel waliachana peacefully kabisa na wakaendelea kuwa washkaji wa kawaida tuu.
Kwnye mahusiano mapya ya bro walifanikiwa kupata mtoto wa kiume, lkn wazazi wa yule binti walikataa kabisa binti yao kuolewa na kaka mkubwa (kutokana na sababu za ugomvi wa familia yao na yetu). Bro alimpenda sana huyu bint na binti alimpenda pia bro..ikafikia kipindi binti akawa analazimisha kuondoka kwao akaishi na kaka.. katikat ya matatizo hayo bro akapata zari la kupendwa na mwanamke flan hivi ambae wakawa tayari kujenga familia pamoja..Lkn katikat ya harakat hizo ndipo yakatokea hayo matatizo ya bro kufariki RIP.
Miezi kadhaa baada ya bro kufariki, palitokea ukaribu mkubwa sana kati yangu na yule mwanamke wa kwanza (wa kwanza kwene hii 'story' sio kwenye maisha yake!)..na katika ukaribu huo ambao mimi niliuchukulia kama urafiki wa kawaida tuu yakaibuka mahusiano ya kimapenzi ambayo hata mimi pia yalinishangaza, kwanza yalinishangaza kutokana na historia yetu mimi na yeye..na pia tofauti kubwa ya umri iliyopo kati yetu. Lakini ikanibidi tuu nizowee, na kiukweli saiv nampenda kweli huyu mwanamke wangu, licha ya tofaut zilizopo kati yetu bado ananiheshim na kunisapot sana kwa vitu vingi.
Nikiwa katika mahusiano hya, bro wangu mwingine (second born) akaniambia kwamba yule mwanamke alozaa na bro anajires sana kwake, niliogopa mana najua ndio shemej yetu official kbsa..lkn bro akamalizia na sentens ambayo kiukwel ikabdili hofu yangu kuwa tamaa. Bro alisema (Lakini poa tu saivi si hana wa kumkuna)..ndipo hapo tamaa ya 'kiuvulana' ikaniingia nikawaza kwamba ngoja nijaribu 'bahati' yangu mana namjua huyu bro mamb yake yeye slow kama tropism tuu. Siku hiyo hiyo nikaanza kuchat na huyo shem, nikamualika hom akaja, kilichofata kinajulikana...
Utata ukaanza kwamba shem baada ya mchezo akaniukiza "una mpango gani na mimi?" Sikutegemea hilo swal mana nilijua nae angechukulia hyo kama casual sex mana "..hana mtu wa kumkuna". Nikamzuga zuga tuu hapo sikumpa jibu. Alipoondoka kufika kwao akazidi kuniuliza hili swali, mi nikamkubusha jinsi background yetu haituruhusu kuwa pamoja, nikamwmbia kwamba tuna option mbili, tuifanye siri hii kitu au tusiendelee kabisa. Jinsi alivonijibu nimeambatabisha hapo chini.
Ukweli ni kwamba mim nmeamua kubeba kandambili zangu niziweke kwapani nitembee mbele mana huyu mwanamke anafikiria vitu ambavyo kiukwel haviwezekani kwani mimi nna mahusiano yangu rasmi.
Leo asubuhi braza angu 2nd born kanitumia msj kwamba leo wamepanga ratiba ili aende 'kumla' huyo shemej etu, nimeshtuka sana mana mimi huyu ni juz tu imetoka kutokea kati yetu. Nimejikuta nipo njiapanda ya maamuzi..sielewi kwamba natakiwa kumwambia bro kilichotokea au nikaushe tuu! lakini pia namhofia huyu mwanamke kwani nimeanza kuhisi kwamba ana matatizo lbda yuko overstressed kwa yale yaliyomkuta ndomana anafanya maamuzi kama haya..Je mimwambie bro au niache muda uamue?
Asanteni
Lengo kubwa la kuandika huu uzi ni kuwaomba ushauri kwa haya machache. Ipo hivi, nyumbani kwetu tumezaliwa watoto wa kiume wanne, yan mimi na kaka zangu wakubwa watatu.
Mwez wa kumi na mbili mwaka 2017 tulimpoteza kaka yetu mkubwa ambaye alifariki kwa sababu fulani fulani(sio muhim kuzi expose hapa), bro alishawahi kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ambaye walikuja kuachana kwa sababu ya yy (kaka) kugundulika kuwa amempa mimba mwanamke mwingine, kiukwel waliachana peacefully kabisa na wakaendelea kuwa washkaji wa kawaida tuu.
Kwnye mahusiano mapya ya bro walifanikiwa kupata mtoto wa kiume, lkn wazazi wa yule binti walikataa kabisa binti yao kuolewa na kaka mkubwa (kutokana na sababu za ugomvi wa familia yao na yetu). Bro alimpenda sana huyu bint na binti alimpenda pia bro..ikafikia kipindi binti akawa analazimisha kuondoka kwao akaishi na kaka.. katikat ya matatizo hayo bro akapata zari la kupendwa na mwanamke flan hivi ambae wakawa tayari kujenga familia pamoja..Lkn katikat ya harakat hizo ndipo yakatokea hayo matatizo ya bro kufariki RIP.
Miezi kadhaa baada ya bro kufariki, palitokea ukaribu mkubwa sana kati yangu na yule mwanamke wa kwanza (wa kwanza kwene hii 'story' sio kwenye maisha yake!)..na katika ukaribu huo ambao mimi niliuchukulia kama urafiki wa kawaida tuu yakaibuka mahusiano ya kimapenzi ambayo hata mimi pia yalinishangaza, kwanza yalinishangaza kutokana na historia yetu mimi na yeye..na pia tofauti kubwa ya umri iliyopo kati yetu. Lakini ikanibidi tuu nizowee, na kiukweli saiv nampenda kweli huyu mwanamke wangu, licha ya tofaut zilizopo kati yetu bado ananiheshim na kunisapot sana kwa vitu vingi.
Nikiwa katika mahusiano hya, bro wangu mwingine (second born) akaniambia kwamba yule mwanamke alozaa na bro anajires sana kwake, niliogopa mana najua ndio shemej yetu official kbsa..lkn bro akamalizia na sentens ambayo kiukwel ikabdili hofu yangu kuwa tamaa. Bro alisema (Lakini poa tu saivi si hana wa kumkuna)..ndipo hapo tamaa ya 'kiuvulana' ikaniingia nikawaza kwamba ngoja nijaribu 'bahati' yangu mana namjua huyu bro mamb yake yeye slow kama tropism tuu. Siku hiyo hiyo nikaanza kuchat na huyo shem, nikamualika hom akaja, kilichofata kinajulikana...
Utata ukaanza kwamba shem baada ya mchezo akaniukiza "una mpango gani na mimi?" Sikutegemea hilo swal mana nilijua nae angechukulia hyo kama casual sex mana "..hana mtu wa kumkuna". Nikamzuga zuga tuu hapo sikumpa jibu. Alipoondoka kufika kwao akazidi kuniuliza hili swali, mi nikamkubusha jinsi background yetu haituruhusu kuwa pamoja, nikamwmbia kwamba tuna option mbili, tuifanye siri hii kitu au tusiendelee kabisa. Jinsi alivonijibu nimeambatabisha hapo chini.
Ukweli ni kwamba mim nmeamua kubeba kandambili zangu niziweke kwapani nitembee mbele mana huyu mwanamke anafikiria vitu ambavyo kiukwel haviwezekani kwani mimi nna mahusiano yangu rasmi.
Leo asubuhi braza angu 2nd born kanitumia msj kwamba leo wamepanga ratiba ili aende 'kumla' huyo shemej etu, nimeshtuka sana mana mimi huyu ni juz tu imetoka kutokea kati yetu. Nimejikuta nipo njiapanda ya maamuzi..sielewi kwamba natakiwa kumwambia bro kilichotokea au nikaushe tuu! lakini pia namhofia huyu mwanamke kwani nimeanza kuhisi kwamba ana matatizo lbda yuko overstressed kwa yale yaliyomkuta ndomana anafanya maamuzi kama haya..Je mimwambie bro au niache muda uamue?
Asanteni