Rafiki yangu kipenzi anasoma chuo flani hapa mjini, amekuwa katika mapenzi na mwanaume mmoja ambaye amekuwa haeleweki yaani utadhani ndo yahaya aliyeibwa na Jide.
Rafiki yangu anaonekana anampenda sana huyo bwana shemeji, wana kama almost miez mitatu tangu wamefahamiana, wamesex mara moja baada ya kupima na kukuta wote wazima.
Bwa she anafanya kazi katika kampuni flani hivi ila bi shost hajui ofisi ya mpenzi wake ilipo. Katika muda wote wa mahusiano mwanaume hajawah kumpeleka mwanamke nyumbani kwake wala inavyoelekea hana mpango. Mwanaume anapajua kwa bidada japo huwa sio mkaaji huenda kumchukuwa wanapokuwa na mtoko na baadae humrudisha coz shostito hana usafiri,
kimbembe kimeanza wiki mbili zilizopita, mwanaume kapotea kwenye cm hapatikani, rafiki yangu hajui ampate vp, hajabahatika kutambulishwa kwa rafiki wala ndugu yeyote wa mwanaume wala hapajui kwake, jamaa kapotea kama wki hivi, walikuwa wanamazowea ya kuchat kwenye moja ya mtandao wa kijamii nako akatoweka, akachange username kibaya zaid akaweka jina na picha ya kike.
Jana kaibuka! Kapiga cm anadai anataka waonane, rafiki yangu akamuomba amuelekeze kwake ili aende bwa she akagoma, alipoulizwa sababu za kutokupatikana jamaa akagoma kueleza kwamba mpaka waonane ila akadai alikuwa na matatizo,
baada kama ya nusu saa jamaa akafika kwa rafiki yangu tayar kwa mtoko, walienda hoteli moja nje kidogo ya mji.
Wakiwa huko mwanaume aliomba sana msamaha, alidai kapata matatizo kazini kutokana na loss aliyoiingizia kampuni kwa uzembe, alikiri kwamba pesa hiyo aliitumia na ndio amenunulia gari na vitu vingine na kwamba aliamua kuzima cm kwani mbali na kufukuzwa kazi anatafutwa kwa hatua zaid kisheria.
Rafiki yangu alimpa pole na kumshauri angalau atafute line nyingine ambayo watakuwa wakiwasiliana wao wawili tu, aliahid kufanya hivyo leo asubuhi kwani wakati huo ilikuwa tayari ni usiku.
Tangu jana usiku alipomshusha rafiki yangu getini shemeji yangu huyo hapatikani kwenye cm, hakuwahi hata kumwambia kama kafika salama.
Rafiki yangu kakosa raha, anafikiria kuachana naye ila anahofu mwanaume asimchukulie kwamba kamuacha kwa vile katimuliwa kazini.
Ameniomba ushauri ila mm kabla ya kumpa ushauri nimeona niwashaurishe wenzangu. Binafsi nimeshindwa kutoa ushauri kwani kunamaswali najiuliza sipati majibu
1.kama tatizo ni loss kazini ndo ashindwe kutafuta njia yoyote ya kuwasiliana na mpenzi wake?
2.kwa nini hataki rafiki yangu apafaham anapoishi na wala hajamtambulisha kwa ndugu wala rafiki yeyote?
3ivi inshu ya kazini ndo imefenye aweke username na pic ya kike kwenye account yake ya moja ya mtandao wa kijamii ambao alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake? Na leo nasikia kajitoka kabisa hayumo kwenye mtandao huo, je hii ni sababu ya matatizo ya kikazi?
4. Aliahd leo atanunua line mpya kwaajili ya kuwasiliana na rafiki yangu mbona hajatekeleza? Na kwanini walipokuwa hotelin cm ilikuwa one na alikuwa akipigiwa na watu na kupokea?
Jamani nisaidieni mawazo mwenzangu coz nimejikuta navaa uhusika na kuumizwa sana na huyu mtu. Na ww shemeji kama unapita humu nakupa ujumbe ufanyavyo sio vizur kama unamambo yako ni bora umuweke wazi mwenzio na sio kumpotezea muda wake, nawasilisha.
Rafiki yangu anaonekana anampenda sana huyo bwana shemeji, wana kama almost miez mitatu tangu wamefahamiana, wamesex mara moja baada ya kupima na kukuta wote wazima.
Bwa she anafanya kazi katika kampuni flani hivi ila bi shost hajui ofisi ya mpenzi wake ilipo. Katika muda wote wa mahusiano mwanaume hajawah kumpeleka mwanamke nyumbani kwake wala inavyoelekea hana mpango. Mwanaume anapajua kwa bidada japo huwa sio mkaaji huenda kumchukuwa wanapokuwa na mtoko na baadae humrudisha coz shostito hana usafiri,
kimbembe kimeanza wiki mbili zilizopita, mwanaume kapotea kwenye cm hapatikani, rafiki yangu hajui ampate vp, hajabahatika kutambulishwa kwa rafiki wala ndugu yeyote wa mwanaume wala hapajui kwake, jamaa kapotea kama wki hivi, walikuwa wanamazowea ya kuchat kwenye moja ya mtandao wa kijamii nako akatoweka, akachange username kibaya zaid akaweka jina na picha ya kike.
Jana kaibuka! Kapiga cm anadai anataka waonane, rafiki yangu akamuomba amuelekeze kwake ili aende bwa she akagoma, alipoulizwa sababu za kutokupatikana jamaa akagoma kueleza kwamba mpaka waonane ila akadai alikuwa na matatizo,
baada kama ya nusu saa jamaa akafika kwa rafiki yangu tayar kwa mtoko, walienda hoteli moja nje kidogo ya mji.
Wakiwa huko mwanaume aliomba sana msamaha, alidai kapata matatizo kazini kutokana na loss aliyoiingizia kampuni kwa uzembe, alikiri kwamba pesa hiyo aliitumia na ndio amenunulia gari na vitu vingine na kwamba aliamua kuzima cm kwani mbali na kufukuzwa kazi anatafutwa kwa hatua zaid kisheria.
Rafiki yangu alimpa pole na kumshauri angalau atafute line nyingine ambayo watakuwa wakiwasiliana wao wawili tu, aliahid kufanya hivyo leo asubuhi kwani wakati huo ilikuwa tayari ni usiku.
Tangu jana usiku alipomshusha rafiki yangu getini shemeji yangu huyo hapatikani kwenye cm, hakuwahi hata kumwambia kama kafika salama.
Rafiki yangu kakosa raha, anafikiria kuachana naye ila anahofu mwanaume asimchukulie kwamba kamuacha kwa vile katimuliwa kazini.
Ameniomba ushauri ila mm kabla ya kumpa ushauri nimeona niwashaurishe wenzangu. Binafsi nimeshindwa kutoa ushauri kwani kunamaswali najiuliza sipati majibu
1.kama tatizo ni loss kazini ndo ashindwe kutafuta njia yoyote ya kuwasiliana na mpenzi wake?
2.kwa nini hataki rafiki yangu apafaham anapoishi na wala hajamtambulisha kwa ndugu wala rafiki yeyote?
3ivi inshu ya kazini ndo imefenye aweke username na pic ya kike kwenye account yake ya moja ya mtandao wa kijamii ambao alikuwa akiwasiliana na mpenzi wake? Na leo nasikia kajitoka kabisa hayumo kwenye mtandao huo, je hii ni sababu ya matatizo ya kikazi?
4. Aliahd leo atanunua line mpya kwaajili ya kuwasiliana na rafiki yangu mbona hajatekeleza? Na kwanini walipokuwa hotelin cm ilikuwa one na alikuwa akipigiwa na watu na kupokea?
Jamani nisaidieni mawazo mwenzangu coz nimejikuta navaa uhusika na kuumizwa sana na huyu mtu. Na ww shemeji kama unapita humu nakupa ujumbe ufanyavyo sio vizur kama unamambo yako ni bora umuweke wazi mwenzio na sio kumpotezea muda wake, nawasilisha.