GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Unamaanisha jamaa ni shoga auYaani huyo shemeji yako anataka akuoe wewe na dada yako
Unamaanisha jamaa ni shoga auYaani huyo shemeji yako anataka akuoe wewe na dada yako
Mmoja tu demu wangu wa kwanza kabisa a k a mwalimu wangu
sasa unakaribia kuwa shemelaBaada ya kumkuta na njemba fulani analochepuka nalo,akajitetea kwamba ndugu yangu hawezi kazi ndio maana ameamua kuchepuka,ila kama nataka aachane na jamaa basi Mimi niwe tayari kumpa huduma,ilikuwa Kama utani vile lakini naona yuko serious ameamua kunitia majaribuni,ananitumia jumbe Whatsapp na kuzifuta nikimuuliza ujumbe uliotuma unahusu Nini ananiambia amesahau alichoandika,yaani naelekea kushindwa na huu mtihani,chonde chonde akina shemeji popote mlipo acheni kuwatia majaribuni ndugu wa mabwana zenu,mtavunja udugu wao mtajenga uhasama usiokuwa na kikomo
Uko sahihi
Ni Mke wa kaka yako.
Ohh ni demu tu kama walivo madem wengin???
BTW nachotaka kusema hapa, ni wewe kumwambia kaka yako, kua Demu wako anatombwaa nje na mchizi fulan, naushahidi huu hapa.
Utakua umemuokoa kaka yako kama sio wale wanaopenda kwa kutumia Mbooo !!!