Sheli inayojengwa Basihaya barabara ya Bagamoyo yaleta adha ya maji

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
3,907
6,700
Takribani week sasa hakuna maji -- Basihaya mpaka Ununio yote. Inasemekana ujenzi wa hiyo sheli umepasua bomba kubwa linasambaza maji maeneo hayo.

Swali la kujiuliza: Je, mmiliki wa hiyo sheli hakufanya utafiti kujua kwamba chini kuna bomba la maji? Maana maji ni uhai bora wangekata umeme.

Mamlaka zinazohusika tunaomba mshughulikie hii kero tunayoipata wananchi alafu mpo karibu tu hapo week sasa maji hakuna.
 
Poleni, nadhani wahusika kama wapo humu watasikia.

Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Nadhani huu uzi unaweza kuwa ujumbe tosha kama watu wao watauona.


Let's meet at the top, cheers 🥂
Nilishawajulisha kwenye account yao ya hapa Jf lakini sidhani kama huwa wanasoma.

Account ya TRC kwa Kadogosa ndio wako makini sana.......hawa Dawasa ni bendera fuata upepo tu.

Tanesco pia huwa wanajibu au kutoa taarifa haraka humu Jf!
 
Nilishawajulisha kwenye account yao ya hapa Jf lakini sidhani kama huwa wanasoma.

Account ya TRC kwa Kadogosa ndio wako makini sana.......hawa Dawasa ni bendera fuata upepo tu.

Tanesco pia huwa wanajibu au kutoa taarifa haraka humu Jf!
Aisee! Basi ni tatizo sana na kuna walakini kwenye management yao.


Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Takribani week sasa hakuna maji -- Basihaya mpaka Ununio yote. Inasemekana ujenzi wa hiyo sheli umepasua bomba kubwa linasambaza maji maeneo hayo.

Swali la kujiuliza: Je, mmiliki wa hiyo sheli hakufanya utafiti kujua kwamba chini kuna bomba la maji? Maana maji ni uhai bora wangekata umeme.

Mamlaka zinazohusika tunaomba mshughulikie hii kero tunayoipata wananchi alafu mpo karibu tu hapo week sasa maji hakuna.
Hivi una uhakika? Bomba lipite katikati ya kiwanja? Tafiti kabla ya kulaumu
 
Back
Top Bottom