Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawasaidia kinadada kwa kuwafunza Ususi na UpambajiNi nani huyo na amefanya kitu gani maana sisi wengine ndio tunasikia kwako. Tupe kwa ufupi kazi yake na alichofanya kusaidia kina dada wa bongo tusijeshabikia tu kwa kufuata upepo.
Anamiliki maduka ya urembo yanaitwa Sheir Illusions, pia ana brand yake ya vipodozi lipstick, powder and foundation zinaitwa Manjano. Pia anachuo cha kufundisha watu maswala ya urembo kinaitwa Manjano dream makers.. Etc etcNi nani huyo na amefanya kitu gani maana sisi wengine ndio tunasikia kwako. Tupe kwa ufupi kazi yake na alichofanya kusaidia kina dada wa bongo tusijeshabikia tu kwa kufuata upepo.
Nachukua nafasi hii kumpongeza dada huyu kwa kukuza vipaji vya kina dada hapa bongo.
jingalao na kalagabaho ???????Babaako alimaanisha nini alipokupa jina la JINGA LAO ntoto wake wa kiume?
Ahsante kwa ufafanuzi murua, nimeelewa sasa.Anamiliki maduka ya urembo yanaitwa Sheir Illusions, pia ana brand yake ya vipodozi lipstick, powder and foundation zinaitwa Manjano. Pia anachuo cha kufundisha watu maswala ya urembo kinaitwa Manjano dream makers.. Etc etc
huyu dada namuona kama bilionea anayekuja kwa kasiNachukua nafasi hii kumpongeza dada huyu kwa kukuza vipaji vya kina dada hapa bongo.
Hakuna sauti ya idhaa za kimataifa zinazonikosha kama za Umil Kher (DW) na Suluma Kassim (BBC)