Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Hata mimi nilikuwepo katika mkutano huo ambao ulifanyika uwanja wa mpira wa Ngarisero mitaa ya usa river J3 jioni.
shekhe alikosea au mleta uzi anatulisha matango mwitu mkuu
Hata mimi nilikuwepo katika mkutano huo ambao ulifanyika uwanja wa mpira wa Ngarisero mitaa ya usa river J3 jioni.
Jana ktk mkutano wa magamba usa rive shekh ambaye alikuwa anamuombea dua sioi alijikuta akimuombea dua nassary hadi anamaliza bila kugundua alipomaliza umati wa watu walikuwa wameja uwanjani hapo. walishangilia ''peoples power''kama vile helikopta chadema inaitwa ''peoples power'' ikatokea.wacha mwigulu aanze kumtukana dr sillaa kama ndio aliyesoma dua au ndio ruban wa hiyo helkopta.