Shekh alipomuombea dua Sioi alitaja jina la Nassary badala ya Sioi!

Jana ktk mkutano wa magamba usa rive shekh ambaye alikuwa anamuombea dua sioi alijikuta akimuombea dua nassary hadi anamaliza bila kugundua alipomaliza umati wa watu walikuwa wameja uwanjani hapo. walishangilia ''peoples power''kama vile helikopta chadema inaitwa ''peoples power'' ikatokea.wacha mwigulu aanze kumtukana dr sillaa kama ndio aliyesoma dua au ndio ruban wa hiyo helkopta.

Cooked.
 
Back
Top Bottom