Sheikh Yahya: JK, Dk. Slaa kupatana...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,422
911,172
na Hellen Ngoromera

MNAJIMU Mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amemtabiria Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Willbrod Slaa kukaa pamoja.

Kutokana na hali hiyo, Sheikh Yahya ameitaka jamii kuvuta subira kwani watapata habari njema kuhusu viongozi hao hivi karibuni.

Mnajimu huyo alitoa utabiri huo juzi usiku jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika kipindi cha Nyota Zenu kinachorushwa hewani na Channel ten.

"Namsalimu rais mpendwa Kikwete, namsalimu Dk. Slaa kwa kuonyesha juhudi zake katika kuleta amani, kinyota nawaona Dk. Slaa namwona Rais Kikwete wanapeana mikono, nawaona watakuwa pamoja," alisema Sheikh Yahya.

Aliongeza kuwa kinyota anawaona pia Rais Kikwete na Dk. Slaa na wenzake kuwa watakaa pamoja na kula pamoja.

Alitabiri pia kuwa CHADEMA kushirikiana na CCM pamoja na Chama cha Wananchi (CUF) na kueleza kuwa Mungu ndivyo anavyotaka.

Sheikh huyo aliweka wazi kuwa kuanzia Februari 18 mwakani, CHADEMA na Chama cha Mapinduzi (CCM) wataelewana vilivyo lakini amani kubwa itakapatikana Novemba 21 mwakani.

Aliwataka wananchi kuacha mambo aliyoyaita ya kipuuzi na kuwaambia wavute subira kwani Mwenyezi Mungu anatawala kupitia uchaguzi.
 
Huyo naye aache upuuzi wake kwa kumtumia Mungu kupata riziki yake; bora afanye kazi nyingine. Hivi anafikiri ni wangapi wanaoamini mambo ya minajimu?

We believe in the living God, and who already spoke to us and revealed His will in His Word, and not in some unajimu or something. Afanye kazi ya kujenga Taifa, huo ni uvivu na kula kwa kutumia ujanja.

Anajua kuwa Dr. Slaa ni kiboko na iko siku Chadema itachukua mchi, hivyo analinda maslahi yake pande zote mbili!!!! No one is stupid enough to be fooled by some magical tricks/divination these days of science and technology.
 
Vipi huyo mtangazaji hakumwuuliza mbona uchaguzi ulikuwepo wakati yeye alishasema hakuna uchaguzi??
Very intersting, itakuwa katumwa na JK tu kuongea hicho alichosema
 
Hivi huu ni utabiri au anawapa ushauri wapatane? huyu kikongwe anachezea akili zetu, hafai ku...
 
alishindwa kutabiri kura zitaibiwaje, anatabiri kuhusu kupatana,
this's insane.....
 
Eti utabiri, huyu mzee sijui vipi anazidi kuichanganya nchi yetu.
 
He is just playing with our minds. Hana cha nini wala nini. Muongo mkubwa.

Anatumia psychology anajidai mtabiri.
 
PHP:
Sheikh Yahya: JK, Dk. Slaa kupatana
 
 
na Hellen Ngoromera
 
 
 [IMG]http://www.freemedia.co.tz/daima/anime/amka2.gif[/IMG]                                                                                            MNAJIMU Mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh  Yahya Hussein, amemtabiria Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Willbrod Slaa  kukaa pamoja.  Kutokana na hali hiyo, Sheikh Yahya ameitaka jamii  kuvuta subira kwani watapata habari njema kuhusu viongozi hao hivi  karibuni.
 Mnajimu huyo alitoa utabiri huo juzi usiku jijini Dar es Salaam wakati  akizungumza katika kipindi cha Nyota Zenu kinachorushwa hewani na  Channel ten.
 "Namsalimu rais mpendwa Kikwete, namsalimu Dk. Slaa kwa kuonyesha juhudi zake katika kuleta amani, kinyota nawaona Dk. Slaa namwona Rais Kikwete wanapeana mikono, nawaona watakuwa pamoja," alisema Sheikh Yahya.
   Aliongeza kuwa kinyota anawaona pia Rais Kikwete na Dk. Slaa na wenzake kuwa watakaa pamoja na kula pamoja.
   Alitabiri pia kuwa CHADEMA kushirikiana na CCM pamoja na Chama cha Wananchi (CUF) na kueleza kuwa Mungu ndivyo anavyotaka.
 Sheikh huyo aliweka wazi kuwa kuanzia Februari 18 mwakani, CHADEMA na  Chama cha Mapinduzi (CCM) wataelewana vilivyo lakini amani kubwa  itakapatikana Novemba 21 mwakani.
 Aliwataka wananchi kuacha mambo aliyoyaita ya kipuuzi na kuwaambia  wavute subira kwani Mwenyezi Mungu anatawala kupitia uchaguzi.

Sheikh Yahya aliombe taifa msamaha kwa uongo huu..........................hadi leo JK hana mpango wa kukutana na Dr. Slaa na lengo lake ni kumtafutia sababu za kumfunga jela tu.....................................utabiri wa mnajimu huyu ulikuwa ni uongo...............alidai tuvute subira na sasa je.............................yako wapi
 
hawa masheikh huwa wamekosa changuzumza hadi waingie kwenye siasa ......yeye aendeleze ushirikina wake ahache habari za ujinga
 
Huyo naye aache upuuzi wake kwa kumtumia Mungu kupata riziki yake; bora afanye kazi nyingine. Hivi anafikiri ni wangapi wanaoamini mambo ya minajimu? We believe in the living God, and who already spoke to us and revealed His will in His Word, and not in some unajimu or something. Afanye kazi ya kujenga Taifa, huo ni uvivu na kula kwa kutumia ujanja. Anajua kuwa Dr. Slaa ni kiboko na iko siku Chadema itachukua mchi, hivyo analinda maslahi yake pande zote mbili!!!! No one is stupid enough to be fooled by some magical tricks/divination these days of science and technology.
Precisely!
 
Vipi huyo mtangazaji hakumwuuliza mbona uchaguzi ulikuwepo wakati yeye alishasema hakuna uchaguzi??
Very intersting, itakuwa katumwa na JK tu kuongea hicho alichosema

Naona mzee anazidi kuzeeka vibaya!tumpe pole na kumuombea!!
 
PHP:
Sheikh Yahya: JK, Dk. Slaa kupatana


na Hellen Ngoromera


[IMG]http://www.freemedia.co.tz/daima/anime/amka2.gif[/IMG] MNAJIMU Mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amemtabiria Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Willbrod Slaa kukaa pamoja. Kutokana na hali hiyo, Sheikh Yahya ameitaka jamii kuvuta subira kwani watapata habari njema kuhusu viongozi hao hivi karibuni.
Mnajimu huyo alitoa utabiri huo juzi usiku jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika kipindi cha Nyota Zenu kinachorushwa hewani na Channel ten.
"Namsalimu rais mpendwa Kikwete, namsalimu Dk. Slaa kwa kuonyesha juhudi zake katika kuleta amani, kinyota nawaona Dk. Slaa namwona Rais Kikwete wanapeana mikono, nawaona watakuwa pamoja," alisema Sheikh Yahya.
Aliongeza kuwa kinyota anawaona pia Rais Kikwete na Dk. Slaa na wenzake kuwa watakaa pamoja na kula pamoja.
Alitabiri pia kuwa CHADEMA kushirikiana na CCM pamoja na Chama cha Wananchi (CUF) na kueleza kuwa Mungu ndivyo anavyotaka.
Sheikh huyo aliweka wazi kuwa kuanzia Februari 18 mwakani, CHADEMA na Chama cha Mapinduzi (CCM) wataelewana vilivyo lakini amani kubwa itakapatikana Novemba 21 mwakani.
Aliwataka wananchi kuacha mambo aliyoyaita ya kipuuzi na kuwaambia wavute subira kwani Mwenyezi Mungu anatawala kupitia uchaguzi.

Sheikh Yahya aliombe taifa msamaha kwa uongo huu..........................hadi leo JK hana mpango wa kukutana na Dr. Slaa na lengo lake ni kumtafutia sababu za kumfunga jela tu.....................................utabiri wa mnajimu huyu ulikuwa ni uongo...............alidai tuvute subira na sasa je.............................yako wapi

Wamfunge,wamtese,lakini ipo siku Tanganyika itakombolewa na kuwa huru!!
 
Sheikh Yahya: JK, Dk. Slaa kupatana


na Hellen Ngoromera


amka2.gif
MNAJIMU Mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amemtabiria Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Willbrod Slaa kukaa pamoja. Kutokana na hali hiyo, Sheikh Yahya ameitaka jamii kuvuta subira kwani watapata habari njema kuhusu viongozi hao hivi karibuni.
Mnajimu huyo alitoa utabiri huo juzi usiku jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika kipindi cha Nyota Zenu kinachorushwa hewani na Channel ten.
"Namsalimu rais mpendwa Kikwete, namsalimu Dk. Slaa kwa kuonyesha juhudi zake katika kuleta amani, kinyota nawaona Dk. Slaa namwona Rais Kikwete wanapeana mikono, nawaona watakuwa pamoja," alisema Sheikh Yahya.
Aliongeza kuwa kinyota anawaona pia Rais Kikwete na Dk. Slaa na wenzake kuwa watakaa pamoja na kula pamoja.
Alitabiri pia kuwa CHADEMA kushirikiana na CCM pamoja na Chama cha Wananchi (CUF) na kueleza kuwa Mungu ndivyo anavyotaka.
Sheikh huyo aliweka wazi kuwa kuanzia Februari 18 mwakani, CHADEMA na Chama cha Mapinduzi (CCM) wataelewana vilivyo lakini amani kubwa itakapatikana Novemba 21 mwakani.
Aliwataka wananchi kuacha mambo aliyoyaita ya kipuuzi na kuwaambia wavute subira kwani Mwenyezi Mungu anatawala kupitia uchaguzi.

Inasemekana Mzee Yahya Hussein aliwahi kuahidi kumpa JK ulinzi wa majini ili aisidhuriwe na wabaya wake kama RA, EL, NzrK na wengine. Je ni kweli? Sasa mishahara yao wanachukulia Benki gani? Huyu mzee naye mtata sana.
 
haka kazee kanazeeka vibaya manake saa kameshindwa kutabiri ukweli kanataka tuamini majini na nyota zake badala ya kuamini maandiko mm naona anatabiri kwa nguvu za Beelzebuli au ibilisi mkuu,mbona hajitabirii atakufa lini hadi watu wakamtabiria kafa kumbe bado.
 
Huyu Sheikh naye aache kutumiwa na TISS, wapatane kwani waligombana?. Wamegundua kuwa njia pekee ya kuua upinzani ni kuwashirikisha katika serikali na kujenga muafaka, CCM wamejua kabisa kuwa watanzania wanataka chama cha upinzani imara ili wakiamini na kukipatia kura ili waitoe CCM waliyoichoka. CHADEMA wanalijua hilo kwani ni chama chenye watu wanaofanya kazi kitaalam kwa kutumia utafiti. Hili la kukaa pamoja na kula ni la kawaida kabisa kwani Dr Slaa na Kikwete si maadui bali ni viongozi wa vyama vinavyoshindania dola hivyo linapokuja suala la kisiasa sidhani kama kutakuwa na urafiki wa kama CCM na CUF. Na kama CHADEMA wataingia kwenye mtego huu basi wajue kuwa the rising share price ya chama chao itazama mpaka karibia na valueless.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom