Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Hivi hawa jamaa, siasa na uchawi wapi na wapi? Mbona wako so narrow-minded hivyo jamani, wananitia kinyaa, mimi nafikiri huyu babu ana matatizo mawili kati ya haya
1. Uzee unamsumbua hivyo kujikuta akiropoka tu kama Babu Makamba au kwa sababu ya kigugumzi labda watu hawajamuelewa
2. Ni mbinu ya kibiashara ya kujitangaza apate wateja, ulidhani asipovuna msimu huu wa uchaguzi atampata nani tena?
Ashindwe kwa JINA la MUNGU aliye HAI
1. Uzee unamsumbua hivyo kujikuta akiropoka tu kama Babu Makamba au kwa sababu ya kigugumzi labda watu hawajamuelewa
2. Ni mbinu ya kibiashara ya kujitangaza apate wateja, ulidhani asipovuna msimu huu wa uchaguzi atampata nani tena?
Ashindwe kwa JINA la MUNGU aliye HAI