nakumbuka sheikh yahaya alisema mgombea na rais angekufa, lakini akageuza usemi akasema shibuda angekwisha kisiasa sasa leo unaona imekuwaje, naona huyu mzee MAJINI yake yamezeeka PIA :A S-baby:
watu kama sheikh yahya ni wa kuwanyima nafasi hata ya kuwasikiliza... kitendo cha kuwapa promo kinaharibu tu wananchi na maimani ya kishirikina
nakumbuka sheikh yahaya alisema mgombea na rais angekufa, lakini akageuza usemi akasema shibuda angekwisha kisiasa sasa leo unaona imekuwaje, naona huyu mzee MAJINI yake yamezeeka PIA :A S-baby: