johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,716
- 141,579
Mgombea Ubunge jimbo la Handeni vijijini Hussein Msopa maarufu kama Sheikh Sharif Majini ni mmoja wa wagombea walionitokeza leo na amefika ofisi za CCM wilaya ya Handeni kwa ajili ya kusalimia na baadae kuelekea ofisi ndogo ya CCM Mkata kuchukua fomu ya kugombea Ubunge.
Bungeni patanoga huku Nabii Shilla hapa Sheikh Sharif majini kule askofu Gwajima Shetani lazima akimbie.
Maendeleo hayana vyama!
Bungeni patanoga huku Nabii Shilla hapa Sheikh Sharif majini kule askofu Gwajima Shetani lazima akimbie.
Maendeleo hayana vyama!