johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,781
Katibu Mkuu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania sheikh Issa Ponda amedai kuwa kuna wazanzibar wengi hawajaandikishwa kwenye daftari la wapiga kura kinyume cha utaratibu.
Ponda amesema kwa Siasa zinazoendelea Zanzibar kwa sasa ni wazi kabisa kama amani itavunjika wakati wa uchaguzi basi mlango wake utakuwa ni huko Zanzibar.
Sheikh Ponda amesema hayo katika mahojiano yaliyorushwa mubashara na Star tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi mada ikiwa Amani wakati wa Uchaguzi.
Maendeleo hayana vyama!
Ponda amesema kwa Siasa zinazoendelea Zanzibar kwa sasa ni wazi kabisa kama amani itavunjika wakati wa uchaguzi basi mlango wake utakuwa ni huko Zanzibar.
Sheikh Ponda amesema hayo katika mahojiano yaliyorushwa mubashara na Star tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi mada ikiwa Amani wakati wa Uchaguzi.
Maendeleo hayana vyama!