sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
...lol! walipojaribu kulivua likawa linachukua na ngozi ya mwili
Kilimo Kwanza...hadi hii leo sijaona lolote jipya katika sekta ya kilimo nchini na kauli hii ilitolewa zaidi ya miaka miwili iliyopita.
Na hutakaa uone lolote jipya BAK ......kilimo kwanza wanasema wakiwa wamekaa kwenye viyoyozi ......waulize lini walienda mashambani kufanya kilimo kwanza kwa vitendo?......au wamefanya juhudi gani kuwawezesha hao wakulima?
Last edited by a moderator: