Ndg mi simwelewi rais wetu kwa hili sijui kwa nini analilea,tutajuta hebu angalia baadhi ya magazeti na redio zinavyochochea chuki miongoni mwa wa tz jamaa kauchuna tu!!,sijui ndio utawala bora!.
hata tamko la polisi anatoa chagonja. Kova na said mwema wako kimya. Hawa ni watu waliokuwa wakitoa sana matamko kwenye sakata la madaktari,walimu na mikutano ya cdm. Naona wameamua kuupandikiza udini wazi wazi.