Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Nilipatwa na mstuko mkubwa na ikanizukia sintofahamu ndani ya akili na nafsi yangu pale niliposoma kwenye gazeti la Mwanahalisi Seif Sharrif Hamad anapodai kaambiwa kwamba Sheikh Ponda na Sheikh Basalahe wanataka kuonana naye baada ya Ponda kukutana na Hamad Rashid huku Ponda "akijua" kwamba Hamad Rashid ni "Mwongo"
Habari hizi alikuwa anaambiwa Profesa Hibrahim Lipumba na Seif Shariff Hamad. Na jambo walilokuwa wanalijadili si la kujenga misikiti au kusaidia waislamu wenzao kwenda hija, bali walikuwa wanajadiliana hali ya mambo ndani ya chama chao cha CUF Lipumba kama Mwenyekiti na Hamad kama Katibu Mkuu.
Swali nililojiuliza hawa Sheikh Ponda na Sheikh Basalehe wana nafasi gani ndani ya CUF hadi viongozi wa kitaifa wa CUF wagombanie kwenda kuwaona??
Habari hizi alikuwa anaambiwa Profesa Hibrahim Lipumba na Seif Shariff Hamad. Na jambo walilokuwa wanalijadili si la kujenga misikiti au kusaidia waislamu wenzao kwenda hija, bali walikuwa wanajadiliana hali ya mambo ndani ya chama chao cha CUF Lipumba kama Mwenyekiti na Hamad kama Katibu Mkuu.
Swali nililojiuliza hawa Sheikh Ponda na Sheikh Basalehe wana nafasi gani ndani ya CUF hadi viongozi wa kitaifa wa CUF wagombanie kwenda kuwaona??