Sheikh Ponda: Maimamu wamekutana kujadili tamko la IGP, tutakaa na Maaskofu tutoe tamko la pamoja

Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.

Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.

Maendeleo hayana vyama!

View attachment 1935628
Huyu siro anachokitafuta huko kwenye imani za watu atakipata.
 
Watu wanaojitambua wanashindwa kumuelewa Sirro kwa sababu ya tabia iliyokithiri kwa mapolisi kuwabambikia watu vyesi kwa nia ya kuwakomoa tu.

Polisi hawa ambao Hamza kawaua kwa sababu tu ya kumdhulumu mali yake lakini wao tayari wameshageuza kibao na kusingizia eti Hamza alikuwa ni gaidi.

Sasa wanapoulizwa wanafikiri ni kwa nini basi kawaua mapolisi tu bila kumjeruhi hata raia moja wakati raia walikuwemo kibao hawajibu na badala yake wanajikanyaga tu.

Mwisho wa siku watakuja kupandikiza silaha ndani ya madrasa na kuwabambikia mashehe kesi ya uongo kisa tu wamewaunga Chadema mkono. Tuko hapa.
 
Sasa polisi wameshindwa kufanya observations zao kimya kimya undercover mpaka waende kwenye vyombo vya habari kuamsha mihemko ya wanadini?

Huko ni kukosa akili na ni ishara kwamba hawako serious.
Eti hili ndilo jambo muhimu kuliko yote alilojifunza Siro kwenye ziara yake ya Rwanda!
 
Watu wanaojitambua wanashindwa kumuelewa Sirro kwa sababu ya tabia iliyokithiri kwa mapolisi kuwabambikia watu vyesi kwa nia ya kuwakomoa tu.

Polisi hawa ambao Hamza kawaua kwa sababu tu ya kumdhulumu mali yake lakini wao tayari wameshageuza kibao na kusingizia eti Hamza alikuwa ni gaidi.

Sasa wanapoulizwa wanafikiri ni kwa nini basi kawaua mapolisi tu bila kumjeruhi hata raia moja wakati raia walikuwemo kibao hawajibu na badala yake wanajikanyaga tu.

Mwisho wa siku watakuja kupandikiza silaha ndani ya madrasa na kuwabambikia mashehe kesi ya uongo kisa tu wamewaunga Chadema mkono. Tuko hapa.
Chadema tena?!
 
Na siku hizi misikiti na makanisa pia yamehamia katika platform / madhabau za mitandaoni kama YouTube, Facebook, WhatsApp basi polisi hawa watakuwa wanataka siyo tu wanajipanga kukagua yanayoendelea mfano katika kanisa la Ufufuo na Uzima baina ya kuta za jengo, bali na maudhui wanayotupia mtandaoni yana uzalendo pia utaifa ndani yake !

Askofu Gwajima alipua moto | Atoa msimamo kuhusu Chanjo nchini


Source : josephat gwajima rudisha tv
 
Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.

Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.

Maendeleo hayana vyama!

View attachment 1935628
Mmh Hakuna chakujadili hapo achen serikal ifanye kaz yake! Hamuaminiki nyie wote
 
Si ndio huyu na yule mwenzake anayeitwa katimba ambao wote wanazuga wapo chadema ndio waliibuka kwenye mazishi ya hamza wakisema ndio wasemaji wa familia wakawa wanamtetea?
 
Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.

Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.

Maendeleo hayana vyama!

View attachment 1935628
Unajua Tanzania bhana kuna mambo yana endeleaga chini chini yani kiasi kwamba inaskiliziwa ku (pull the trigger)

Statement zina collide alafu zinakua public kitu ambacho si sahihi... Huu mfumo kuna muda unafikirisha sana... Mpaka mtu una anza kuwaza katiba
 
Sheikh ponda asichanganye siasa na dini
Duniani kote serkali humonita mafunzo yanayokinzana na imani za dini husika

Haiwezekean madrasa au Sunday school watoto wanafundishwa ugaidi then serkali ijitenge
Mr. Una evidence juu ya maelezo yako???
 
Sasa polisi wameshindwa kufanya observations zao kimya kimya undercover mpaka waende kwenye vyombo vya habari kuamsha mihemko ya wanadini?

Huko ni kukosa akili na ni ishara kwamba hawako serious.
Mr shkamoo.. i salute you kwa comment yako
 
2795DD48-B43A-47C1-94BF-591A90801F8D.jpeg
 
Kamanda Sirro alisema tu kule Rwanda wanakagua mafundisho ya Madrassa na Sunday School kwa hiyo anataka kuongea na viongozi wa dini hapa kuona kama jambo hilo linaweza kufanyika hapa.
Lakini Kama Sheria za nchi ziko wazi,waache hao watu waongee chochote wanachotaka mafichoni.
Dini na mapolisi,wapi na wapi?
And besides wamefungwa watu; Sheikh Ponda amefungwa, na wale masheikh wa uamsho wamefungwa. Kwa hiyo Sheria zinajulikana.
Polisi waondoléwe kwenye madrassa ili iweze kufanyika robust religious discussion.
 
Back
Top Bottom