Sheikh Ponda: Maimamu wamekutana kujadili tamko la IGP, tutakaa na Maaskofu tutoe tamko la pamoja

Mfano mtu akisoma dini hapa Tanzania akafuzu kwenda nje ya nchi,je'polisi watakwenda kuwakagua na huko nje ya mipaka.
Wao wenyewe polisi wametuambia kuwa Hamza kajifunza ugaidi kupitia mtandaoni sasa ajabu haya mawazo sasa yamekujaje kuja huku madrasa.
 
Sijaona ugumu kwenye kauli ya Sirro, ni issue ya wao viongozi wa dini kukutana na mamlaka na kufanya majadiliano juu ya hilo..
 
Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.

Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.

Maendeleo hayana vyama!

View attachment 1935628

Bakwata hata katika hili mmekaa kimya
 
Amani ni tunda la haki, haya mambo ya kutoaminiana miongoni mwa wanajamii ni matokeo ya utawala wa kimabavu usiojali haki za makundi mbalimbali ya watu na uwakilishi wa watu wote kwenye chaguzi huru zisizokuwa na mazongezonge yoyote yale ikiwemo wizi wa kura.
 
Udini umekutawala akili.
udini gani uislam au ukristo!!!kama umenisoma kwa umakini mboka post yangu iko wazi,kwamba sikubaliani na wahuni wanaouchafua uislam.

labda kama nawewe unaamini hao jamaa ni haki wanatafuta kwa kuua na kujiua.
 
Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.

Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.

Maendeleo hayana vyama!

View attachment 1935628
hivi mnafikiri kuwa watakuwa wanakuja askari na mabunduki na magwandakanisani aumsikitini? wala hamtawajuwa mtakuwa mnashtukia tu mnakamatwa nyie endeleeni na mafundsho ya siyofaa
 
Kama hawafundishi ugaidi kwa nini waogope kukaguliwa?

Shehe Ponda tulia ,tunajua waliokimbia Gabo delgado wamekuja Tazania kujijenga upya.
Mkuu tumia akili kwakichwa yako. Polisi wa Tz hawajawah kuaminika hata na rais mwenyewe hukusikia anawaonya tabia ya kubambikizia watu kesi? Huyo ni rais wa nchi imagine anakuja madrasa snatoa ripot kakamata bunduki aina ya Ak 47 pamoja na magazine na wamemkamata ustadh Ado Shaibu au Salum mwalimu wa madrasa hyo kumbe yote ni mipango michafu tu.

Ushamjua mmiliki wa gari iliyomteka Mo ambayo polis walituonesha picha yake?
 
Tamko la Sirro linawalenga waislamu, wakristo wameingizwa kama cover tu kubalance.

Wote tunajuwa hakuna gaidi aliwahi kusikika akisema bwana asifiwe, bali ni takbiir na Allah Uhakbar.

Na hakuna mafunzo ya kareti makanisani bali kwenye madrasa na misikiti hasa hawa Markaz.
Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMEN
 
Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMEN
Amen!
 
Tamko la Sirro linawalenga waislamu, wakristo wameingizwa kama cover tu kubalance.

Wote tunajuwa hakuna gaidi aliwahi kusikika akisema bwana asifiwe, bali ni takbiir na Allah Uhakbar.

Na hakuna mafunzo ya kareti makanisani bali kwenye madrasa na misikiti hasa hawa Markaz.
Kwahiyo ukifundishwa kareti msikitini ndio unakuwa gaidi!
 
mambo ya kugusa imani za watu ni magumu mno, ningekuwa mimi ni IGP ningelifanya zoezi hili kimya kimya kwa kutumia vijana wangu - na chuo kinachokiuka maadili ningekifungia kimya kimya.
 
huyu IGP Siro akiendelea kuachwa anaweza kuingiza nchi kwenye migogoro ya kidini na hii call ya Sheikh Ponda kutaka kujadili azimio la pamoja juu ya kauli ya Siro nadhani vita ndio inaanzia hapo.

Lakini kwa vyovyote vile siro ataenda kujifunza nini kwa mfano kwenye darsa za somo la Nahau kule Misikitini, ni uchochezi anataka kuufanya na Mama samia kama hatashtuka ataingizwa chaka la nguvu kwenye utawala wake., ogopa sana migogoro ya kidini katika nchi, imani ni kitu chengine.

Si kila kitu unatakiwa uige kwa sababu umekuta nchi nyengine kwanza Siro kwanza alipaswa kusoma georafia ya Tz watu wake wana nini na wanahitaji nini na nini kinaweza kuleta shida., Rwanda ni nchi ndogo sana.,
IGP wetu siasa mingi saana.
 
Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMEN
Hayo mafundisho yangefuatwa ipasavyo basi mngekuwa mnaongoza kudhulumiwa na kuonewa ila hali haipo hivyo na hiyo maana yake mafundisho hayafuatwi.
 
Back
Top Bottom