UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Wao wenyewe polisi wametuambia kuwa Hamza kajifunza ugaidi kupitia mtandaoni sasa ajabu haya mawazo sasa yamekujaje kuja huku madrasa.Mfano mtu akisoma dini hapa Tanzania akafuzu kwenda nje ya nchi,je'polisi watakwenda kuwakagua na huko nje ya mipaka.