ukweli kabisa,wew huujui wala huna uhakika juu ya historia ya muungano,
ukweli unaouona wew kw mwenzko ni uongo,na ukwel kwa yeye bac kwako wew ni uongo
wa2 wote wanasimamia nadharia kuelezea hstoria ya muungan,ukwel wanaujua wenyew wachochez wa kuni za fitna nyerer na karume,
km na wew unaweza na wew tumia ukafiri (ukristo) wko kuelzea muungano,dini yko haijakuzuia kuhubr siasa,ucmzue shkhe kuhubr siasa,ilhal wachungaji na mapadri wakiongozwa na pengo wanahubir siasa tena kwa nguv zote,
kuwazuia waislam wasiuseme muungano uo ndo udini
abu,
..hapa Jamii Forums kuna Waislamu, Wakristo, Wahindu, watu wa imani mbalimbali.
..mimi nakushauri uheshimu imani za watu na auchane na kutumia neno kafiri kwa imani za wengine.
..binafsi napinga viongozi wa dini zote kujitumbukiza ktk malumbano ya kisiasa.
..siasa inataka give-and-take wakati dini haziruhusu mambo kama hayo.
..pia madhara ya mashekhe kujitumbukiza kwenye siasa ndiyo hayo unayoyathibitisha hapa ambapo waumini sasa mmeanza kufarakana na wale wa imani tofauti, na wengine kama wewe mnaita watu makafiri wakati siasa hazielekezi hivyo.