dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,953
- 9,474
Sababu aliwapinga watawala na kwakuwa walikuwa wanasikika peke yao ndio maanaNilipokuwa mdogo sekondari skuli niliamini na kuaminishwa kuwa sheikh Ponda ni mtu mbaya.. asiyefaa katika jamii, muuaji, gaid n.k
Nashukuru nimekuwa mtu sasa naamini kinyume chake.
Naomba Mungu anisamehe kwa fikra zile utotoni.
sababu watawala wa Africa ukiwaambia ukweli wananuna
Refer MBOWE