Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Mbona bado msikiti anaoswali watu wamejaa pomoni? Angepiga marufuku wasiswali aone kama hajabaki peke yake. Kila nafsi itaonja mauti akiwemo na yeye, wewe na mimi! TUSITISHANE!!!View attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Afrika kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee, bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania.
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo: MwanaHalisi Digital