akiwa kwenye muhasara maeneo ya uwanja wa ndege mjini hapa amepigwa risas ya kifua na sasa amepelekwa hospital ya mkoa hapa morogoro
This is total unacceptable!!!
Ile tindikali waliomwagiwa wasichana wa Waingereza kule Zanzibar ambao ni followers wa Zion itawa-cost wengi,Never play with Israel,Mossad will hunt you down like dogs
Itawasumbua akina nani mkuu big?kama hii taarifa ni kweli,awe ameuawawa au awe mzima hiyo kitu itawasumbua sana
mmmh
wewe hupo eneo la tukio?
umeona akipigwa risasi?
hii habari sidhani kama imeshathibitishwa
Mimi hii habari sitaki kuamini kama ni kweli