Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Hapa ndo tutajua kati ya PONDA na MKUU WA KAYA nani MWANAUME
Hivi huyU Ponda ni nani hasa?,mwenye CV yake atudondoshee,nina interest pia ya kujua msimamo wake kisiasa,je ponda ni CCM au ni CUF au ni both?please mwenye kujua haya anieleweshe kwani niko naandika kitabu,heading ni THE RISE OF MUSLIM FUNDAMENTALISM AND RELIGIOUS FANATISM IN TANZANIA- 2005-2015Naomba mnielekeze anapokaa huyu Ponda.
who is behind ponda?
Hivi huyU Ponda ni nani hasa?,mwenye CV yake atudondoshee,nina interest pia ya kujua msimamo wake kisiasa,je ponda ni CCM au ni CUF au ni both?please mwenye kujua haya anieleweshe kwani niko naandika kitabu,heading ni THE RISE OF MUSLIM FUNDAMENTALISM AND RELIGIOUS FANATISM IN TANZANIA- 2005-2015
Hii nchi haina kiongozi mkuu wa nchi ndio maana wahuni wanaweza ipa maagizo serikali kwa matakwa yao binafsi.
Poor Baba Riz !
Kwani ili udai haki ya kudhihakiwa Mtume ni lazima uchome kanisa? Au ni matumizi ya nguvu nyingi na akili kidogo?
pengo na kilaini wakiipa amri serikali kwa matamko yao unaona safiiii.
Namsikiliza nyerere anasema sisi waafrika watu wa ajabu sana.