Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
endelea kudhani.Nadhani awali walikuwa 186 kabla Mwamba hajatimba huko ukonga!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kudhani.Nadhani awali walikuwa 186 kabla Mwamba hajatimba huko ukonga!
Huyo mzee nadhani posho yake imetokaendelea kudhani.
187. Mwambaendelea kudhani.
haya.187. Mwamba
Nchi hii inaendeshwa na siasa na sio utawala wa kijeshi. Hivyo matendo ya hovyo yeyote lazima yahusishwe directly na chama kinachosimamia serikaliHapa kwenye kuhusisha kila kitu na siasa ndipo penye tatizo halisi!
Halafu Rais hafuti kesi. Huo ni mhimili mwengine wa dola. Tunataka Rais aingilie ya mahakamani halafu upande wa pili tunataka utawala wa sheria.Kwani za wale masheikh zilikuwa za mwaka gani? je sahivi watu hawashitakiwi kesi za kubumba za ugaidi?
Unajitia jehu usio kuwa nao mkuu.Hakuna mahali nimetaja Samia mazee
Mama Samia ndio amewatoa Uamsho??Swali la kijinga kiwango cha SGR.
Mashekhe wa Uamsho walikamatwa 2014, Samia walimhusu nn mpk akawatoa
DPP anatumwa na nani kubambika watu?Halafu Rais hafuti kesi. Huo ni mhimili mwengine wa dola. Tunataka Rais aingilie ya mahakamani halafu upande wa pili tunataka utawala wa sheria.
dingi ako, fanya unachoweza mpuuzi wewe, watishe ndugu zakoUnapayukwa tu mkuu.
Yaani kwa kuwa una uhuru wa kuandika mavi yako basi unajiandikia. Ukiambiwa thibitisha hizi claims zako utashindwa, na ukishindwa ukifunguliwa mashtaka bado utasema unaonewa na nchi haina uhuru .
Au ndio unadhani unatumia fake ID??
haya bhana ndugu babati
Kwani mkuu nimekutisha?? Au umehisi kutisha??? Hahadingi ako, fanya unachoweza mpuuzi wewe, watishe ndugu zako
Utoe uhai wa mtu afu ukifuatiliwa useme wafuatiliaji watafaidika na nini? Je ingekuwa ni mzazi wako au ndugu yako kafanyiwa vile ungerizika? Wengi wamefanya ushenzi na kujificha kwenye kichaka cha kuwatetea watu. Hii ni sawa na wale ma padri, masheikh na wachungaji wanaojifanya wachamungu mchana kumbe wezi, wachawi na wauaji usiku. So lazima sheria ichukue mkondo wake ili kusimamisha utawala wa sheria kwa wauaji na wavunja sheria wote.Wewe ndiyo sehemu ya familia hiyo? akifungwa wewe utapungukiwa na nini? mpuuzi mkubwa wewe
Masheikh wa uamsho walikuwa na "Limelight" kubwa kuliko hawa wa TanganyikaSwali la kijinga kiwango cha SGR.
Mashekhe wa Uamsho walikamatwa 2014, Samia walimhusu nn mpk akawatoa
Tanzania kuna watu wanaishi kama Jehanam.“Mhe. Rais Watuhumiwa wa Ugaidi tunanyimwa Haki. Ukonga, Segerea tupo 187. Tumewekwa jela toka 2013. Mhe. jela miaka 8 ni kuadhibiwa bila ya kuthibitika kosa. Wewe kama mkuu wa nchi tunaomba ushauri wako tufanye nini ili tutendewe Haki?” Ujumbe huu nimepewa leo Ukonga na Segerea.
View attachment 1986119
Mkuu hilo daraja la kutishwa lishalipitaKwani mkuu nimekutisha?? Au umehisi kutisha??? Haha
Sawa BashiteUtoe uhai wa mtu afu ukifuatiliwa useme wafuatiliaji watafaidika na nini? Je ingekuwa ni mzazi wako au ndugu yako kafanyiwa vile ungerizika? Wengi wamefanya ushenzi na kujificha kwenye kichaka cha kuwatetea watu. Hii ni sawa na wale ma padri, masheikh na wachungaji wanaojifanya wachamungu mchana kumbe wezi, wachawi na wauaji usiku. So lazima sheria ichukue mkondo wake ili kusimamisha utawala wa sheria kwa wauaji na wavunja sheria wote.
yeye mwenyewe ni gaidi na tena ni mrundi wa buyenzi“Mhe. Rais Watuhumiwa wa Ugaidi tunanyimwa Haki. Ukonga, Segerea tupo 187. Tumewekwa jela toka 2013. Mhe. jela miaka 8 ni kuadhibiwa bila ya kuthibitika kosa. Wewe kama mkuu wa nchi tunaomba ushauri wako tufanye nini ili tutendewe Haki?” Ujumbe huu nimepewa leo Ukonga na Segerea.
View attachment 1986119
Kila ubaya utalipwaHivi serikali ya CCM huwa inafikiri nini juu ya maisha ya watu?