Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,008
2013 nani alikuwa madarakani kati ya kikwete na JPM?Hii inathibitisha vile kosa la ugaidi linavyotumiwa na serikali iliyopita na hii ya sasa kuwafunga midomo wapinzani wao.
Kwa wale watuhumiwa wenye interest kwa jamii ambao kesi zao zinafuatiliwa zaidi, wanawezesha lengo lao kwa kuwahonga majaji vyeo ili waamue kesi zao kwa mapenzi ya watawala badala ya kufuata sheria ilimradi watuhumiwa waendelee kukaa gerezani kinyume cha sheria.