Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Mlitaka wapewe hukumu ya kifungo ili mpige kelele wanaharakati wamefungwa? Ili muandamane, sasa dawa yao ni kuwaweka mahabusu miaka 9 ili nchi itulie.

Sasa ole wao wabwabwaje tena kuhusu kufukuza watalii wanaovaa kinyume na imani zao kali, kuchoma makanisa na kutishia kuibuka kwa magaidi.
 
Mlitaka wapewe hukumu ya kifungo ili mpige kelele wanaharakati wamefungwa? Ili muandamane, sasa dawa yao ni kuwaweka mahabusu miaka 9 ili nchi itulie.

Sasa ole wao wabwabwaje tena kuhusu kufukuza watalii wanaovaa kinyume na imani zao kali, kuchoma makanisa na kutishia kuibuka kwa magaidi.
Kumbe ni watu hatari na nusu?
 
Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.

Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa.

Anatoka anasema oooh yamekwisha, furaha itoshe tumetoka, tusishindane na mwenye nguvu. Tushukuru tumetoka.

Wanaharakati wetu wa dunia ya tatu maskini ya Mungu, very uchwara. I hope Sheikh Farid does not subscribe to this man’s crap.
Tungekuwa pabaya sana hawa wangeachiwa wasambaze roho za chuki, kwani kulikuwa na vuguvugu la Rufiji na Mkuranga.

Ukichanganya hizo movements mbili hatari muda huu tungekuwa kama Nigeria na Chad.
 
Kiukweli hauwezi kushindana na serikali yenye kila aina ya nguvu ya dola ila kutoa ushauri ni muhimu,kuhamasisha vurugu ni hatari kwa usalama wa taifa maana ikitokea vurugu wanaoathirika ni wengi hata ambao hawahusiki.

Tulieni mfanye mambo yenu ,mambo ya uharakati wa kidini haufai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom