edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,878
- 9,677
Hawawezi rudia huu utopolo ila wanatakiwa waweke mtu wa kuwachunguza hawakawi kwenda Iraq kujifunza ugaidi mkubwa"etween the lines
"Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna watu wale wasiojulikana, kama wanataka kuharibu kitu au ku-create kitu basi hutengeneza sababu ambayo itatupa sisi dhima kwa hiyo tuwe wavumilivu"
"tutakaporuhusiwa kufanya mijumuiko tutafanya, tukiambiwa hapana basi tusishindane na mwenye nguvu."
Ujumbe wote uko hapo kashasema kila kitu kwa wenye macho makubwa