Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Kwani unao ushahidi wa uamsho kumwagia mtu tindi Kali au kuua padri? Mbona unakwenda kinyume Na amri kumi Za biblia ?Ulisikia aliwahi mtikila kammwagia mtu tindikali,kuchoma kanisa au kuua padri? Na Toka hao mashehe wawekwe ndani umewahi kusikia kuna tukio lolote Zanzibar? Na kama hakuna, kwanini? Use your brain
Matukio ni mengi Tu ya kuuliwa watu Na majeshi kutoka Tanganyika Na mliyoyakodi kutoka Burundi, wakati wa uchaguzi