Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,906
- 30,248
SHEIKH MSELEM BIN ALI ALITUNUKIWA NISHANI NA WAISLAM AKIWA KIFUNGONI 2014
Katika mkutano wa mwaka uliofanyika Pongwe, Tanga mwaka wa 2014, Jukwaa la Vijana wa Kiislam Tanzania walimtunuku Shekh Mselem bin Ali Nishani Maalum kwa mchango wake katika kuisomesha Qur'an Tukufu.
Kwa kuwa Sheikh Mselem alikuwa kifungoni nishani hii ilipokelewa na mwanae, Shaib Ali Mselem kwa niaba ya baba yake.
Nishani hii ilitolewa kwake na Sheikh Ahmada Kidege ambae na yeye sasa yuko jela kwa tuhuma za ugaidi.
Sheikh Kidege ni mja mwema na mwalimu wa madrasa na shule ya Chekechea ya Kiislam akisomesha watoto Qur'an Tukufu.
Tumwombee dua Allah amnusuru.
Amin
Katika mkutano wa mwaka uliofanyika Pongwe, Tanga mwaka wa 2014, Jukwaa la Vijana wa Kiislam Tanzania walimtunuku Shekh Mselem bin Ali Nishani Maalum kwa mchango wake katika kuisomesha Qur'an Tukufu.
Kwa kuwa Sheikh Mselem alikuwa kifungoni nishani hii ilipokelewa na mwanae, Shaib Ali Mselem kwa niaba ya baba yake.
Nishani hii ilitolewa kwake na Sheikh Ahmada Kidege ambae na yeye sasa yuko jela kwa tuhuma za ugaidi.
Sheikh Kidege ni mja mwema na mwalimu wa madrasa na shule ya Chekechea ya Kiislam akisomesha watoto Qur'an Tukufu.
Tumwombee dua Allah amnusuru.
Amin