Baadhi ya wasomi ni wajinga kabisa na wapumbavu
Mohamed Ali Mwansasu, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Tanzania amesema maneno hayo ''makali'' baada ya kufuatilia juhudi kubwa nzuri za Mh. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli amegundua kuwa baadhi ya wasomi Tanzania ni wajinga kabisa na wapumbavu. Maneno hayo yalisemwa katika mkutano maalum uliohudhuriwa na viongozi wa dini mbalimbali katika hafla hiyo ya CCM mkoani Mbeya.
Sheikh Mwansasu amesema kabla ya kutoa kauli hiyo kali, alifuatilia na kusoma maandiko ya Critical Thinkers wenye kufikiria kwa undani kuhusu maana pana ya elimu na kuelimika. Katika ma-critical thinkers alikutana na mwanafalsafa Plato na amegundua elimu si tu kusoma vitabu mbalimbali na kuhitimu shahada ya kwanza, Uzamili au Ph.D bali ..... pia Mwl. Nyerere alipata kusema .....uhuru bila nidhamu ni sawa na uwendawazimu....
Source: MbeyaYetuOnline TV
Mohamed Ali Mwansasu, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Tanzania amesema maneno hayo ''makali'' baada ya kufuatilia juhudi kubwa nzuri za Mh. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli amegundua kuwa baadhi ya wasomi Tanzania ni wajinga kabisa na wapumbavu. Maneno hayo yalisemwa katika mkutano maalum uliohudhuriwa na viongozi wa dini mbalimbali katika hafla hiyo ya CCM mkoani Mbeya.
Sheikh Mwansasu amesema kabla ya kutoa kauli hiyo kali, alifuatilia na kusoma maandiko ya Critical Thinkers wenye kufikiria kwa undani kuhusu maana pana ya elimu na kuelimika. Katika ma-critical thinkers alikutana na mwanafalsafa Plato na amegundua elimu si tu kusoma vitabu mbalimbali na kuhitimu shahada ya kwanza, Uzamili au Ph.D bali ..... pia Mwl. Nyerere alipata kusema .....uhuru bila nidhamu ni sawa na uwendawazimu....
Source: MbeyaYetuOnline TV