Sheikh Mkuu wa Dsm ahudhuria ibada Kanisa la Ufunuo, asisitiza umoja na mshikamano kwa Watanzania

Unajua huyu Sheikh anajitambua na anajua nini anachokifanya.
Na wanaopinga humu utakuna ni Waislam wasiojua kitu.

Maana hata Kiongozi wetu Mtume Mohammad(S.A.W),alikaa na kuongea na kushauriana na hata kuitikia wito kwa watu wasio waislam,na hata wale wenye kuutukana Uislam.

Hakutumia nguvu wala kumwaga damu pale kwenye amani,alieneza neno la Mungu kwa nguvu za hoja kama silaha yake kubwa na vita pale inapobudi.
Ila Leo watu wanaweka uadui wa hali ya juu kwenye Ukristo,na hasa hawa wasiosoma Dini na wale waliosoma ukubwani ndio kabisaa,wao ubishi tuuuu

Kwani Mitume Wangapi tunaowaamini Wazazi wao wa upande mmoja walikuwa sio waislam?,na mbona waliishi pamoja licha ya kuwa na dini tofauti.Tena nyumba moja na chakula kula pamoja huku dini zikiwa tofauti.Ila leo sie wengine tunaofuata mkumbo ndio tunajifanya kuweka chuki za Kipumbavuuu na Ukristo.
Hakuna mtu utakae mgeuza dini aje kwako kama hautaanza kuhubiri amani,upendo na Mshikamano.
 
Safii sana na hii ni ishara ya upendo sio wenzangu na mimi kila kitu kwao najisi
Hizi kauli ndizo zisizo za kujenga bali za kubomoa, unadhani yeye pekee anaweza ujenga umoja huo. Unachukia wenye mambo ya kuudhi bila kujua nawe ni mmoja, wao upi upendo wako kwa wasiamini upande wako.
 
Unajua huyu Sheikh anajitambua na anajua nini anachokifanya.
Na wanaopinga humu utakuna ni Waislam wasiojua kitu.

Maana hata Kiongozi wetu Mtume Mohammad(S.A.W),alikaa na kuongea na kushauriana na hata kuitikia wito kwa watu wasio waislam,na hata wale wenye kuutukana Uislam.

Hakutumia nguvu wala kumwaga damu pale kwenye amani,alieneza neno la Mungu kwa nguvu za hoja kama silaha yake kubwa na vita pale inapobudi.
Ila Leo watu wanaweka uadui wa hali ya juu kwenye Ukristo,na hasa hawa wasiosoma Dini na wale waliosoma ukubwani ndio kabisaa,wao ubishi tuuuu

Kwani Mitume Wangapi tunaowaamini Wazazi wao wa upande mmoja walikuwa sio waislam?,na mbona waliishi pamoja licha ya kuwa na dini tofauti.Tena nyumba moja na chakula kula pamoja huku dini zikiwa tofauti.Ila leo sie wengine tunaofuata mkumbo ndio tunajifanya kuweka chuki za Kipumbavuuu na Ukristo.
Hakuna mtu utakae mgeuza dini aje kwako kama hautaanza kuhubiri amani,upendo na Mshikamano.
Mkuu umesema point ya Msingi. Yaani wale walioijua dini ukubwani ni shida hasa. Wengi hawasomi, labda kafundishwa dini na mtu wa mlengo huo naye basi kashika hivyo. Mungu ni mmoja tu. Ndiye Mungu wa viumbe vyote, hakuna kiumbe ambacho hakikutoka kwake. Ila kila mtu ana namna anavyowasiliana naye. Huwezi kunilazimisha au kunidharau kwa kuwa mimi nawasiliana naye kwa njia ya barua nawe hutumia simu ukasema mimi nina makosa. Ni upotofu tu na kutojua. Hata ukiangalia hizi dini tatu chimbuko lake ni Mzee mmoja (Ibrahim). Kwa hiyo sote ni watu wa imani moja tu.
 
Vipi Alipiga Magoti? na Ishara ya Msalaba alipiga? kaingia na Viatu?
 
huyu si ndo yule aliesisitiza uchaguzi wa chechemi urudiwe zenji ?
wacgawi wana rangi nyingi ila misingi yao ni mimoja.
Siasa ilivyoharibu watu vichwa.
Hapa mada nyingine sasa CCM na UKAWA inahusu nini,au ndio unataka kuboost na kupoteza lengo la uzi.
 
Shk Alhadi ndiye mfano wa Mwislam na uislam anayenigusa sana. Mungu ambariki
 
Unajua huyu Sheikh anajitambua na anajua nini anachokifanya.
Na wanaopinga humu utakuna ni Waislam wasiojua kitu.

Maana hata Kiongozi wetu Mtume Mohammad(S.A.W),alikaa na kuongea na kushauriana na hata kuitikia wito kwa watu wasio waislam,na hata wale wenye kuutukana Uislam.

Hakutumia nguvu wala kumwaga damu pale kwenye amani,alieneza neno la Mungu kwa nguvu za hoja kama silaha yake kubwa na vita pale inapobudi.
Ila Leo watu wanaweka uadui wa hali ya juu kwenye Ukristo,na hasa hawa wasiosoma Dini na wale waliosoma ukubwani ndio kabisaa,wao ubishi tuuuu

Kwani Mitume Wangapi tunaowaamini Wazazi wao wa upande mmoja walikuwa sio waislam?,na mbona waliishi pamoja licha ya kuwa na dini tofauti.Tena nyumba moja na chakula kula pamoja huku dini zikiwa tofauti.Ila leo sie wengine tunaofuata mkumbo ndio tunajifanya kuweka chuki za Kipumbavuuu na Ukristo.
Hakuna mtu utakae mgeuza dini aje kwako kama hautaanza kuhubiri amani,upendo na Mshikamano.
Hakuna mualiko hata mmoja Mtume aliowahi kuhudhuria kanisani ila nje ya kanisa jee huyu yupo kanisani au? Kuhusu kuzalimisha kwenye dini nadhani hata ukisoma Suratul Kafirun utapata jibu lote hapo.
 
Back
Top Bottom