Uislam uliletwa na mzungu,, au mwarabu yupi.Hizi dini zimeletwa na Wazungu na Waarabu, tukipimwa DNA sisi wote ndugu, hivi ndiyo inapaswa tuishi.
Uislam uliletwa na mzungu,, au mwarabu yupi.
Muongezee na huyu mkuu..mzee wa neema za Allah..wao wanahubiri AmanHuyu jamaa namkubali saana...wish ndiye angekuwa sheikh mkuu wa Tz.
Wewe utakuwa mfuasi wa PondaHuyu Sheikh ni mnafiki sana
Huyu Sheikh ni mnafiki sana
Ila hakushindiHuyu Sheikh ni mnafiki sana
Mbona hajavaa suti na msalaba kama ambavyo sisi tukienda kwao tunavaa kanzu na Barkashia?
Samahani kwako na Heshima kwa wote .... Hiyo kabla uisemayo "bora ukaae kimya tu maana utachafua hewa"Ninaongelea maisha yetu kabla ya dini hizi kuja Afrika.