Mo pal-mo
Senior Member
- Jan 16, 2021
- 176
- 243
Ona hili jinga, acha kufananisha Ukristo na dini za kipumbavuMbona hujanijibu au Ukristo ulianzishwa na nani?
Ona hili jinga, acha kufananisha Ukristo na dini za kipumbavuMbona hujanijibu au Ukristo ulianzishwa na nani?
Acha ujinga wewe!Baada ya kufungua, sasa unafuata mwendo wa kuchinjana, ugaidi pale pale
Kwani ukristo ni dini?Ona hili jinga, acha kufananisha Ukristo na dini za kipumbavu
Sio Dini ni mfumo.Kwani ukristo ni dini?
wapo wengi,acha kukaririri,elimu ya dini ya kiislamu ngazi ya shahada vyuo vikuu vipo nje ya Tanzania hapa Tanzania wengi wanaishia thanawi(sawa na form 6) ukitaka kuendelea ndio unaenda nje hasa Misri,Saudi arabia,sudan, Kenya na kwingineko.....Tafuta watu waliosoma level za shahada au zaidi halafu uone kama utaweza kumshinda katika ujengaji wa hoja au hata mtu aliyesoma Qur an akailewa.Hebu tutajie Sheikh wa hapa nchini ambaye ni Mhandisi, Mwanasheria au Daktari hata wa kusomea (PHd holder).
Nitajie wawili tu.
Kama huelewi chochote katika uislamu bora kutulia kimya.....wewe unajua kwa nini aya za kuwaua makafiri zilishuka nenda kasome tena ulipo karirishwa.
Kama huelewi chochote katika uislamu bora kutulia kimya.....wewe unajua kwa nini aya za kuwaua makafiri zilishuka nenda kasome tena ulipo karirishwa.
Nimekuambia unitajie Masheikh kadhaa waliosoma mpaka level ya PHd ambao ni Wanasheria, wahandisi au Madaktari kwa field zao, wewe unaniletea taraweewapo wengi,acha kukaririri,elimu ya dini ya kiislamu ngazi ya shahada vyuo vikuu vipo nje ya Tanzania hapa Tanzania wengi wanaishia thanawi(sawa na form 6) ukitaka kuendelea ndio unaenda nje hasa Misri,Saudi arabia,sudan, Kenya na kwingineko.....Tafuta watu waliosoma level za shahada au zaidi halafu uone kama utaweza kumshinda katika ujengaji wa hoja au hata mtu aliyesoma Qur an akailewa.
Mtafute imamu mkuu wa msikiti wa masjid maamur upanga ,yupo sheikh Ndauga ni enginner.
We huelewi kijana.Nimekuambia unitajie Masheikh kadhaa waliosoma mpaka level ya PHd ambao ni Wanasheria, wahandisi au Madaktari kwa field zao, wewe unaniletea tarawee
Jibu kinagaubaga kama wali wa manjano haujakuchafua tumbo sheikh
Wewe ndio huelewi ndio maana unashindwa kujibu maswali unayoulizwaWe huelewi kijana.