Sheikh Mattaka anasema mwandamo wa mwezi duniani kote hutangazwa na mamlaka husika na hapa Tanzania mamlaka hiyo ni Bakwata.
Mattaka anasema Mufti hutangaza mfungo au mfunguo baada ya mwezi kuonekana na kamati ya muandamo wa mwezi kujiridhisha.
Sheikh Mattaka anasema Bakwata hufuatilia pia muandamo wa mwezi kwa nchi za Zanzibar na Kenya, lakini huko pia mamlaka husika zimesema mwezi haujaandama.
Hata hivyo sheikh anasema waislamu watakaoswali Eid kesho ndio wengi na hapa Dar waumini watajaa misikiti zaidi ya 300 tofauti na hawa wanaoswalia viwanjani leo ambao hutumia viwanja viwili vitatu tu.
Source: Channel ten!
AjabuHoja ni uchache wao au ni mwezi kuandama?!
Mimi sio Muislamu lakini nina ombi: tujitahidi sana kiondoa ushabiki maandazi kwenye masuala ya Imani.BAKWATA haina tofauti na TFF
Hoja ya kijinga sana ..apa ndo ulipo umuhinu wa elimu hawa wava vipedo na elimu zao sa darasa la 7 wana shida sana
Hii dini ni ya kisani hadi viongozi wake..ukristo ni dini ya kweli ila viongozi ndio wasanii.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwa akili yako mwezi usipoonekana labda kwa sababu ya mvua na mawingu mazito waislam hawana hoja na hawatojua nini cha kufanya!?.Kwa hiyo Mungu wao hawa wote wa leo na kesho anaitwa "MWEZI" siyo?
Duuuh, hii Kali. Ngoja sisi tupumzike kwa sikukuu za wanaoongozwa na MUNGU MWEZI...!
Na kwa upande mwingine, aliyeumba MWEZI akiamua kuuzuia usijitokeze mpaka mwakani maana yake hakuna sikukuu na malumbano ya wanaosubiri MWEZI yatawaka moto mkubwa zaidi...
Ewe ndugu hebu tuheshimiane hapa. Hakuna Muislamu anaeabudu mwezi! Waisalmu tunaabudu mola mmoja tu - Allah. Kalenda yetu inategemea kuandama kwa mwezi, kuna wanaofata kuonekana kwa mwezi duniani kokote na wale wanafata kuonekana kwa mwezi katika nchi wanazoishi pamoja na majirani zao. Kufuata mwezi ni kwa kujua tarehe tu na sio kuwa tunaabudu mwezi. Nadhani umenielewa. Ahsante sanaHao wanaoswali Idd leo wanaabudu mwezi unaoonekana uarabuni
Huyu jamaa toka baada ya ile dua ya maajabu aliyoisoma na kumshirikisha yesu, waumini wengi wamekuwa hawamthamini kabisa na wala hawamsikilizi kabisa!Hoja ya kijinga sana ..apa ndo ulipo umuhinu wa elimu hawa wava vipedo na elimu zao sa darasa la 7 wana shida sana
Una point kidogo, lakini mimi sitoiita dharau ila wanakhitalifiana sana.Ndugu yangu labda hujui tu. Jaribu kukaa vijiweni mwa ndugu zetu waislam....yaani wanadharauliana mno. Msikiti huu unawadharau wa msikiti huu,shekh huyu anamdharau huyu.....kuna misikiti ya watu nk.
We unahangaika na wagalatia wasio na akili Mkuu,utapoteza muda wako tuuh,Ewe ndugu hebu tuheshimiane hapa. Hakuna Muislamu anaeabudu mwezi! Waisalmu tunaabudu mola mmoja tu - Allah. Kalenda yetu inategemea kuandama kwa mwezi, kuna wanaofata kuonekana kwa mwezi duniani kokote na wale wanafata kuonekana kwa mwezi katika nchi wanazoishi pamoja na majirani zao. Kufuata mwezi ni kwa kujua tarehe tu na sio kuwa tunaabudu mwezi. Nadhani umenielewa. Ahsante sana
Kwa sababu dini yenu ni dini iliyotungwa na paul.Najivunia kuwa mkristo
hakuna mwislamu anaye abudu mwezi nduguHao wanaoswali Idd leo wanaabudu mwezi unaoonekana uarabuni.
Umekula hasaraNajivunia