Sheikh Kishki huu ni Ubaguzi, humjui Sheikh Ponda mpaka Waziri Mkuu Majaliwa amtambue?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Katika jambo ambalo haliko sahihi mahali popote lisemwe bayana ili umma wa waislam wengine nao ujue.

Leo Katika viwanja vya Mwembe yanga ulioko Temeke jijini DSM waaislam wa maeneo mbali mbali mkoani humo walikutana kusali kwa pamoja sala ya Eid Elhadj, Katika sala hiyo walihudhuria viongozi mbali wa serikali akiwemo Waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa, walikuwepo viongozi wa dini ya kiislam akiwemo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za kiislam Sheikh Issa Ponda.

Chakushangaza zaidi ni katika itifaki yao Sheikh Nurdin Kishki ndiye aliyepewa mike kama mtoa khutba au mhutubiaji kwa lugha rahisi, na mwanzo wa khutba yake amewataja viongozi wote kuanzia waziri mkuu Majaliwa,aliyekua Mbunge wa Rufiji Muntaza Mangungu na DC wa Temeke na kuwataja viongozi wengine wa dini hiyo lakini hakumtaja kabisa Sheikh Ponda.

Alipomkaribisha wazi mkuu Kassim majaliwa kuja kutoa salaam za Eid ndipo Katika salamu zake za utangulizi akawashukuru viongozi wote huku akirudia rudia kumtaja Sheikh Ponda kama kiongozi wa dini ya kiislamu.

Kituko kiingine ni wakati wa kupiga picha ya pamoja na waziri mkuu, yeye Sheikh KISHKI akawaita viongozi wote wa dini na serikali kusimama mbele kwa majina lakini akaacha kumtaja Sheikh Ponda.Bado kule mbele kwenye picha waziri mkuu na viongozi akahitaji ulazima wa sheikh Ponda ambapo nahisi baada ya kugundua kitu alianza kuelekea nyumbani ndipo akatafutwa kuja kupiga picha hizo.

Nilikua nafuatilia sana Mawaidha ya huyu Sheikh Kishki lakini nimegundua kua ana matatizo, sio bure ndani ya nafsi yake kuna kitu.

Katika itifaki huwezi kumwacha kiongozi mkubwa tena msomi kama sheikh Ponda, huyu ni kiongozi wa taasisi na jumuiya za kiislam nchini na BAKWATA ikiwemo.Chuki na ubinafsi haviwezi kutupeleka peponi zaidi tutakua wapiga kelele wa mtaani huku tukiendelea kujinasibu kua ni wachamungu kumbe hakuna kitu.

Jamani wenzetu tuepukane na asiyoyapenda M.Mungu kwani islamu sio kanzu ndefu,uislam sio kofia ndefu,uislam sio suruali mfupi,uislam sio hijabu,uislamu sio kufuga ndevu ndefu,uislamu sio sala tano tu bali uislam matendo,salama na amani.

Haiwezekenani mpaka kiongozi wa serikali tena waziri mkuu atambue uwepo wa Sheikh Ponda huku kuna viongozi wa uislamu wa wilaya wasitambue, tena Shekhe KISHKI na wenzake ndio walikua waandaaji na wenyeji wa kumkaribisha waziri mkuu wasitambue uwepo wa Sheikh Ponda kweli? Na hata kama Sheikh Ponda kahudhururia ibada bila kualikwa lakini kama kiongozi kwa wadhifa wake huwezi kumwacha kwenye itifaki.

"Amakweli kuna kitabu kimesema sio wote wamwitao bwana ndio ndio watakaouona ufalme wa Mbingu" na katika Uslam siyo kila atamkae Shahada ndiye atakayekwenda peponi"
 
Katika jambo ambalo haliko sahihi mahali popote lisemwe bayana ili umma wa waislam wengine nao ujue.

Leo Katika viwanja vya Mwembe yanga ulioko Temeke jijini DSM waaislam wa maeneo mbali mbali mkoani humo walikutana kusali kwa pamoja sala ya Eid Elhadj, Katika sala hiyo walihudhuria viongozi mbali wa serikali akiwemo Waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa, walikuwepo viongozi wa dini ya kiislam akiwemo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za kiislam Sheikh Issa Ponda.


Chakushangaza zaidi ni katika itifaki yao Sheikh Nurdin Kishki ndiye aliyepewa mike kama mtoa khutba au mhutubiaji kwa lugha rahisi, na mwanzo wa khutba yake amewataja viongozi wote kuanzia waziri mkuu Majaliwa,aliyekua Mbunge wa Rufiji Muntaza Mangungu na DC wa Temeke na kuwataja viongozi wengine wa dini hiyo lakini hakumtaja kabisa Sheikh Ponda.


Alipomkaribisha wazi mkuu Kassim majaliwa kuja kutoa salaam za Eid ndipo Katika salamu zake za utangulizi akawashukuru viongozi wote huku akirudia rudia kumtaja Sheikh Ponda kama kiongozi wa dini ya kiislamu.


Kituko kiingine ni wakati wa kupiga picha ya pamoja na waziri mkuu, yeye Sheikh KISHKI akawaita viongozi wote wa dini na serikali kusimama mbele kwa majina lakini akaacha kumtaja Sheikh Ponda.Bado kule mbele kwenye picha waziri mkuu na viongozi akahitaji ulazima wa sheikh Ponda ambapo nahisi baada ya kugundua kitu alianza kuelekea nyumbani ndipo akatafutwa kuja kupiga picha hizo.


Nilikua nafuatilia sana Mawaidha ya huyu Sheikh Kishki lakini nimegundua kua ana matatizo, sio bure ndani ya nafsi yake kuna kitu.
Katika itifaki huwezi kumwacha kiongozi mkubwa tena msomi kama sheikh Ponda, huyu ni kiongozi wa taasisi na jumuiya za kiislam nchini na BAKWATA ikiwemo.Chuki na ubinafsi haviwezi kutupeleka peponi zaidi tutakua wapiga kelele wa mtaani huku tukiendelea kujinasibu kua ni wachamungu kumbe hakuna kitu.


Jamani wenzetu tuepukane na asiyoyapenda M.Mungu kwani islamu sio kanzu ndefu,uislam sio kofia ndefu,uislam sio suruali mfupi,uislam sio hijabu,uislamu sio kufuga ndevu ndefu,uislamu sio sala tano tu bali uislam matendo,salama na amani.


Haiwezekenani mpaka kiongozi wa serikali tena waziri mkuu atambue uwepo wa Sheikh Ponda huku kuna viongozi wa uislamu wa wilaya wasitambue, tena Shekhe KISHKI na wenzake ndio walikua waandaaji na wenyeji wa kumkaribisha waziri mkuu wasitambue uwepo wa Sheikh Ponda kweli? Na hata kama Sheikh Ponda kahudhururia ibada bila kualikwa lakini kama kiongozi kwa wadhifa wake huwezi kumwacha kwenye itifaki.

"Amakweli kuna kitabu kimesema sio wote wamwitao bwana ndio ndio watakaouona ufalme wa Mbingu" na katika Uslam siyo kila atamkae Shahada ndiye atakayekwenda peponi"
uko sahihi kabisa
 
Katika jambo ambalo haliko sahihi mahali popote lisemwe bayana ili umma wa waislam wengine nao ujue.

Leo Katika viwanja vya Mwembe yanga ulioko Temeke jijini DSM waaislam wa maeneo mbali mbali mkoani humo walikutana kusali kwa pamoja sala ya Eid Elhadj, Katika sala hiyo walihudhuria viongozi mbali wa serikali akiwemo Waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa, walikuwepo viongozi wa dini ya kiislam akiwemo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za kiislam Sheikh Issa Ponda.


Chakushangaza zaidi ni katika itifaki yao Sheikh Nurdin Kishki ndiye aliyepewa mike kama mtoa khutba au mhutubiaji kwa lugha rahisi, na mwanzo wa khutba yake amewataja viongozi wote kuanzia waziri mkuu Majaliwa,aliyekua Mbunge wa Rufiji Muntaza Mangungu na DC wa Temeke na kuwataja viongozi wengine wa dini hiyo lakini hakumtaja kabisa Sheikh Ponda.


Alipomkaribisha wazi mkuu Kassim majaliwa kuja kutoa salaam za Eid ndipo Katika salamu zake za utangulizi akawashukuru viongozi wote huku akirudia rudia kumtaja Sheikh Ponda kama kiongozi wa dini ya kiislamu.


Kituko kiingine ni wakati wa kupiga picha ya pamoja na waziri mkuu, yeye Sheikh KISHKI akawaita viongozi wote wa dini na serikali kusimama mbele kwa majina lakini akaacha kumtaja Sheikh Ponda.Bado kule mbele kwenye picha waziri mkuu na viongozi akahitaji ulazima wa sheikh Ponda ambapo nahisi baada ya kugundua kitu alianza kuelekea nyumbani ndipo akatafutwa kuja kupiga picha hizo.


Nilikua nafuatilia sana Mawaidha ya huyu Sheikh Kishki lakini nimegundua kua ana matatizo, sio bure ndani ya nafsi yake kuna kitu.
Katika itifaki huwezi kumwacha kiongozi mkubwa tena msomi kama sheikh Ponda, huyu ni kiongozi wa taasisi na jumuiya za kiislam nchini na BAKWATA ikiwemo.Chuki na ubinafsi haviwezi kutupeleka peponi zaidi tutakua wapiga kelele wa mtaani huku tukiendelea kujinasibu kua ni wachamungu kumbe hakuna kitu.


Jamani wenzetu tuepukane na asiyoyapenda M.Mungu kwani islamu sio kanzu ndefu,uislam sio kofia ndefu,uislam sio suruali mfupi,uislam sio hijabu,uislamu sio kufuga ndevu ndefu,uislamu sio sala tano tu bali uislam matendo,salama na amani.


Haiwezekenani mpaka kiongozi wa serikali tena waziri mkuu atambue uwepo wa Sheikh Ponda huku kuna viongozi wa uislamu wa wilaya wasitambue, tena Shekhe KISHKI na wenzake ndio walikua waandaaji na wenyeji wa kumkaribisha waziri mkuu wasitambue uwepo wa Sheikh Ponda kweli? Na hata kama Sheikh Ponda kahudhururia ibada bila kualikwa lakini kama kiongozi kwa wadhifa wake huwezi kumwacha kwenye itifaki.

"Amakweli kuna kitabu kimesema sio wote wamwitao bwana ndio ndio watakaouona ufalme wa Mbingu" na katika Uslam siyo kila atamkae Shahada ndiye atakayekwenda peponi"
D u u ! Ndo yaliyokuwa?
Ni aibu iliyoaibika.
 
kwanza we dini gani isiwe rqhis kukosoa uislam hali ya kuwa muislam pia km ungekuwa mkweli ungewaita na uwaelekeze na huo ndo uislam siyo kuwatqngaza mbele ya makafiri!
Mkuu usiulize sana hii taarisha itarushwa kwenye TV subiri utajionea.
 
Bora umeongea na uislam haupendi unafki na uhafidhina.
Sio jambo jema mbele ya allah kufanya jambo la kumchukiza mtu au watu kwa nia ya kuwafurahisha watu wachache au mmoja mmoja.
Hadi sasa masheikh na elimu zao kama kishki bado wanaendekeza mambo ya kujigawa jambo ambalo uislamu unalikataza kwa sauti kubwa!
Uislam unaamrisha kutendeana mema kuanzia sisi waislam hadi dini tofauti!hata kama mtu anaabudu shetani hupaswi kumtenga hapo inapaswa busara zaidi maana huenda akajirudi na kuona makosa yake na kusilimu.kishki popote ulipo acheni mambo ya kibakwata na kiccm shikamaneni katika nyote katika njia ya allah hakika yeye anaona yote mnayoficha na mnayoya dhihirisha
 
kwanza we dini gani isiwe rqhis kukosoa uislam hali ya kuwa muislam pia km ungekuwa mkweli ungewaita na uwaelekeze na huo ndo uislam siyo kuwatqngaza mbele ya makafiri!
ehhh! Hayo ndo yamewafikisha hapo! Leo hii Makafir wore wanajua hamna Upendo nyinyi kwa nyinyi! Halfu mnakuja hapa na kuanza kusema Uislam ni Upendo, ni ammani!
 
Mkuu elewa kua haya ni kama maoni sio taarifa.
Kaka maoni unayempa ni nani na kwa faida ipi? Mada zingine zinadhihirisha jinsi tulivyo na visasi baina yetu unasubiri ndugu yako ateleze uje kutafuta pa kumsemea???
Hata kama umeona mapungufu ya SHEIKH Kishki nae ni mwanadamu kwanini usichukulie kua amejisahau kutokana na ubinadamu wake??
Nadhani wewe utakua na dhima kubwa mbele za Mungu kwa kueneza ubaya wa Mwenzako kuliko huyo unaemdhania kua ndio kakosea kwa kukusudia.
By the way Hakuna hata andiko moja la kidini linalothibitisha kua Mtume (s.a.w) alitaja mtu/watu kwa majina ama vyeo vyao ktk khutba yoyote aliyowahi kuitoa. Alichosema ni Enyi watu,enyi Waumini.
 
Katika jambo ambalo haliko sahihi mahali popote lisemwe bayana ili umma wa waislam wengine nao ujue.

Leo Katika viwanja vya Mwembe yanga ulioko Temeke jijini DSM waaislam wa maeneo mbali mbali mkoani humo walikutana kusali kwa pamoja sala ya Eid Elhadj, Katika sala hiyo walihudhuria viongozi mbali wa serikali akiwemo Waziri mkuu Mh Kassim Majaliwa, walikuwepo viongozi wa dini ya kiislam akiwemo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za kiislam Sheikh Issa Ponda.

Chakushangaza zaidi ni katika itifaki yao Sheikh Nurdin Kishki ndiye aliyepewa mike kama mtoa khutba au mhutubiaji kwa lugha rahisi, na mwanzo wa khutba yake amewataja viongozi wote kuanzia waziri mkuu Majaliwa,aliyekua Mbunge wa Rufiji Muntaza Mangungu na DC wa Temeke na kuwataja viongozi wengine wa dini hiyo lakini hakumtaja kabisa Sheikh Ponda.

Alipomkaribisha wazi mkuu Kassim majaliwa kuja kutoa salaam za Eid ndipo Katika salamu zake za utangulizi akawashukuru viongozi wote huku akirudia rudia kumtaja Sheikh Ponda kama kiongozi wa dini ya kiislamu.

Kituko kiingine ni wakati wa kupiga picha ya pamoja na waziri mkuu, yeye Sheikh KISHKI akawaita viongozi wote wa dini na serikali kusimama mbele kwa majina lakini akaacha kumtaja Sheikh Ponda.Bado kule mbele kwenye picha waziri mkuu na viongozi akahitaji ulazima wa sheikh Ponda ambapo nahisi baada ya kugundua kitu alianza kuelekea nyumbani ndipo akatafutwa kuja kupiga picha hizo.

Nilikua nafuatilia sana Mawaidha ya huyu Sheikh Kishki lakini nimegundua kua ana matatizo, sio bure ndani ya nafsi yake kuna kitu.

Katika itifaki huwezi kumwacha kiongozi mkubwa tena msomi kama sheikh Ponda, huyu ni kiongozi wa taasisi na jumuiya za kiislam nchini na BAKWATA ikiwemo.Chuki na ubinafsi haviwezi kutupeleka peponi zaidi tutakua wapiga kelele wa mtaani huku tukiendelea kujinasibu kua ni wachamungu kumbe hakuna kitu.

Jamani wenzetu tuepukane na asiyoyapenda M.Mungu kwani islamu sio kanzu ndefu,uislam sio kofia ndefu,uislam sio suruali mfupi,uislam sio hijabu,uislamu sio kufuga ndevu ndefu,uislamu sio sala tano tu bali uislam matendo,salama na amani.

Haiwezekenani mpaka kiongozi wa serikali tena waziri mkuu atambue uwepo wa Sheikh Ponda huku kuna viongozi wa uislamu wa wilaya wasitambue, tena Shekhe KISHKI na wenzake ndio walikua waandaaji na wenyeji wa kumkaribisha waziri mkuu wasitambue uwepo wa Sheikh Ponda kweli? Na hata kama Sheikh Ponda kahudhururia ibada bila kualikwa lakini kama kiongozi kwa wadhifa wake huwezi kumwacha kwenye itifaki.

"Amakweli kuna kitabu kimesema sio wote wamwitao bwana ndio ndio watakaouona ufalme wa Mbingu" na katika Uslam siyo kila atamkae Shahada ndiye atakayekwenda peponi"


Ni maradhi ya kutojiamini kwamba labda akimtaja Shk Ponda ataonekana "mchochezi"!!
 
Kaka maoni unayempa ni nani na kwa faida ipi? Mada zingine zinadhihirisha jinsi tulivyo na visasi baina yetu unasubiri ndugu yako ateleze uje kutafuta pa kumsemea???
Hata kama umeona mapungufu ya SHEIKH Kishki nae ni mwanadamu kwanini usichukulie kua amejisahau kutokana na ubinadamu wake??
Nadhani wewe utakua na dhima kubwa mbele za Mungu kwa kueneza ubaya wa Mwenzako kuliko huyo unaemdhania kua ndio kakosea kwa kukusudia.
By the way Hakuna hata andiko moja la kidini linalothibitisha kua Mtume (s.a.w) alitaja mtu/watu kwa majina ama vyeo vyao ktk khutba yoyote aliyowahi kuitoa. Alichosema ni Enyi watu,enyi Waumini.
Hii sio siasa, watu kama ninyi ndio mnaopenda kuingiza siasa kwenye imani za watu!na ndio mnaotuharibia dini. Tumia akili kutafakari, bahati nzuri wengine tumezipata elimu za pande zote mbili ndio maana tunayatambua haya.

Tangu enzi za mtume Muhamadi S.A.W itifaki ilikuwepo na mpaka Leo bado inaendelea kuwepo.Maswahsba wengi wa mtume wamekua wakitajwa tena kwa vyeo vyao kwenye hadhara sasa wewe ya kwako unayatoa wapi? Umeambiwa na nani kua waislam wanamung'unya maneno? Kibaya lazima kisemwe kua ni kibaya tu!

Waziri mkuu kamtaja sheikh Ponda tena kwa kurudia rudia, iweje tena sheikha KISHKI kama mhadhiri anayeifahamu mukusanyiko huo vizuri asijue kwamba sheikh Ponda yupo? Amejuaje Uwepo wa DC wa Temeke? Amejuaje uwepo wa Muntaza Mangungu? We vipi bhana??
 
Back
Top Bottom