Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

View attachment 68419

Waislam zanzibar wachoma maskani kuu ya CCM zanzibar inayojulikana muembe kisonge baada ya kiongozi wao kupotea katika mazingira ya kutatanisha vurugu kubwa limetanda mjini zanzibar.

Duh kweli hatari ukiachilia mbali kisiwandui hapa ndio "makao makuu" ya ccm zanzibar. Anyway they deserve it hawa wanatabia ya kutukana sana anybody and everybody ambaye si ccm. kwenye ubao wao. Kisonge masters of impunity.
 
Waislam watamalizana wenyewe kabla jeshi halijaamua kuingilia kati, Jamani mtu asikunyime elimu manake ni kama
kukupa kitanzi.,tusubiri tuone.
 
Mbona nahisi hii imekaa kishari shari hivi, sijui nimesoma vizuri au laa, akiwa na derva wake mara likatokea gari nyingine asilo lifahamu, akashuka na kupanda gari hilo, tangia wakati huo, hajaonekana tena, wakuu hii siwametekana wenyewe hapo?, naona wanahamu ya kuchoma tu makanisa mengine, mtu akiisha kuala nyama ya mtu yaani hawezi kuacha, ataendelea tu kula.
 
Kuna wakati ni vizuri kukata kiungo ili kansa isienee mwili mzima, hawa makaburu wachache wasituharibie nchi yetu kwa matumbo yao.
leo somalia watu hawapati usingizi, mali pia hawalali, nenda syria, iraq na kwingineko vikundi vya aina ya uamsho na ponda havijawahi kuridhika na chochote isipokua damu na taabu ya watu wao. Viongozi wanapaswa kulinda wananchi waliowapa madaraka dhidi ya majambazi, wezi na hata magaidi na mengine kama hayo vinginevyo hawatufai..
 
hilo lenu. sisi waislam kama ndio tuliopigaia uhuri nchi hii. itarudi tu mikononi mwetu


Mkuu, hua napenda sana style yako ya uandishi! well done, hivi kama wewe unaweza kuandika kwa Computer uko hivi wale wasiojua hata kutumia Computer wakoje? Anyway, ni swali tu la kizushi don't take it so serious!
 
Waislam watamalizana wenyewe kabla jeshi halijaamua kuingilia kati, Jamani mtu asikunyime elimu manake ni kama
kukupa kitanzi.,tusubiri tuone.
 
mtu kashuka mwenyewe kwenye gari lake kaingia kwenye gari jingine mwenyewe,what kinda kidnap is this?another silly excuse to start violence against few christians over there!!! utasikia kanisa limechomwa..
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom