Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,615
- 21,782
Acha tu ndgu yangu yani wamebadili upepo chap sana kama sio wao vile, yani ndani ya mwezi tu mambo yashabadilika.Hivi hawana mishipa ya aibu ?
Acha tu ndgu yangu yani wamebadili upepo chap sana kama sio wao vile, yani ndani ya mwezi tu mambo yashabadilika.Hivi hawana mishipa ya aibu ?
Tusiendelee kuwa wazito wa kuelewa vitu vidogo vidogo vya level hii.Siyo Siri tulishajulishwa na watalaamu kwamba chanjo haizuii kuambukizwa covid,inazuia yale madhara ya covid.Una dukuduku bado?View attachment 1875429
Inashangaza sana wale waliokuwa mstari wa mbele kuzipinga hizi chanjo (watendaji wa wizara ya afya) leo ndio wanaongoza harakati za kutaka raia wachanjwe, ingekuwa vyema kama wangeteuliwa wataalamu wapya.Magufuli alikuwa alfa na omega.
Aliwacompromise wataalamu karibia wote.
Anachotaka yeye kiwe sahihi au kisiwe sahihi lazima kifanyike.
Kupima mapapai na kusema yana corona ule wote ni upuuzi.
Tatizo nani angeweza kwenda kinyume apoteze mkate wake.
Matokeo yake sasa wanapata tabu sana na wapuuzi kina gwajima.
Kweli kabisa kwa sasa watu kuwaamini itachukua mda sana.Inashangaza sana wale waliokuwa mstari wa mbele kuzipinga hizi chanjo (watendaji wa wizara ya afya) leo ndio wanaongoza harakati za kutaka raia wachanjwe, ingekuwa vyema kama wangeteuliwa wataalamu wapya.
Halafu hawajatuambia kuhusu zile njia walizotuambia tuzitumie badala ya chanjo ikiwemo kupiga nyungu (hata Muhimbili waliweka mtambo wa kujifukiza), kula juisi ya tangawizi na limao, kama bado zinatakiwa kutumika.
Hii nchi yetu aliye juu ndio mwenye kauli ndio maana msimamo wa mtu mmoja uligeuzwa msimamo wa taifa zima.
Mimi siyo mwislam lakini sheheWataalamu wana kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu wengi mfano wa huyu shekhe.
Tena kazi kubwa kuliko tunavyoweza kufikiri.
Wachanjane wenyewe! Kama wamekula cha mtu kwa ahadi ya kutuchanja imekula kwao! Drones za Biden zinawahusu! Marekani wametoa hicho kitu kidogo kwa malengo! Malengo yao yasipotimia mtazitapika!Shekhe upo sahihi,hachanjwi mtu.
Usiombe ,covidi imekupiga chini unaomba chanjo na daktari anakwambia "blaza" its too late now umechelewa kuchanja.kimbiza kimbiza hapa Gwajima kule Farid hapa hachanjwi mtu nawaonea huruma mliochanjwa
Uko nyuma ya wakati. Data zz hivi karibuni zinaonesha kuwa chanjo haizuii madhara ya covid 19 ambayo ni kuugua kiasi cha kulazwa hospitalini na hata kufa. Nakuwekea link hapa usome. Hii ni taarifa ya jana 31-07-2021 toka CDC Marekani!! Sasa chanjo ya nini kama haizuii pia madhara ya corona!! Kama lugha ya malkia ni tatizo tafuta mkalimani.Tusiendelee kuwa wazito wa kuelewa vitu vidogo vidogo vya level hii.Siyo Siri tulishajulishwa na watalaamu kwamba chanjo haizuii kuambukizwa covid,inazuia yale madhara ya covid.
Sawa mkuu haina nomaPigene chanjo tu alafu baadae mkiwa mashoga tuwatafune tu.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hijjah ni ibada ambayo haimfungi mtu katika kuiendea katika mwaka fulani tu.Hivyo hakuna ulazima wa mtu kwenda kuhiji mwaka huu tu.Hizo nchi ndizo chimbuko la DINI mbili kubwa....
Rejea ya dini hutoka huko ama hutokea Mwanerumango?
Je Kuna awezaye kwenda HIJJA bila ya kuchanjwa chanjo dhidi ya HOMA YA INI na YELLOW FEVER?!!
Fanya tafiti....Hijjah ni ibada ambayo haimfungi mtu katika kuiendea katika mwaka fulani tu.Hivyo hakuna ulazima wa mtu kwenda kuhiji mwaka huu tu.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ingekua Iran kidogoooo ningekuelewa,lakini Soudia inayoongozwa na wafalme na haina kiongozi wa dini anaye isimamia serikali, haiwezi kuchuliwa kuwa ndiyo msemaji wa dini.Farid mjinga tuh kama wajinga wengine,yeye ndie anajua Sana dini kuliko huko Makkah na medina ambako authority hairuhusu hujaji kwenda huko bila kupata chanjo ya Covid 19??
Mambo ya wataalam awaachie wataalam
Huyu shehe ni daktar?au amesomeae ukonga prison University!!Aliyekwambia usipochanja utakufa nani?
Fatwa imepita hiyo...Huyu shehe ni daktar?au amesomeae ukonga prison University!!
We kachanje tu.Fanya tafiti....
Ujue mahujaji hawaingii SAUDI ARABIA bila ya kupimwa magonjwa mengi na KUCHANJWA BAADHI YA CHANJO....
Fanya tafiti mwenyewe.....
#TujitokezeniKuchanjwa