Atoe maelezo alikuwa wapi?
deleted
PAW
Hiyo ni sehemu ya malipo ya damu ya Mwangosi kwa hiyo haina haja ya kudaiwawarudishe sasa uhai wa polisi waliyemchinja............
Ni coincidence kuwa jamaa katekwa kwa staili ya kujipeleka then ana appear out of nowhere baada ya tamko la UAMSHO...................ninasikilizia ataongea vitu gani..........Lord have mercy
Ni kweli huyu hapa akiingia nyumbani kwake usiku huu.
Ana kesi ya kujibu ajieleze alikuwa wapi hadi kasababisha machafuko zenj na mauaji
matusi=ban