Sheikh Basalleh wa Radio Kheri Ni Mchochezi

Kamjibu Philemon mikael aliyeandika upupu wake hapo juu. Nadhani mleta mada ameianzisha kwa nia ya kuleta uchochezi kwani anajua watakuja watu wenye IQ ndogo kama akina Mikael wataanza kuandika vitu vyao vya ajabu eti vijijini hakuna anayejua waislamu ameenda Lindi, Mtwara, Dodoma, Iringa, Tabora, Tanga, Pwani, Kigoma, Zanzibar, Mafia huku kote unakuta waislamu ni zaidi ya asilimia 60 kama sio 80 yeye anasema eti uislamu uko mjini, mikoa mengine kama Dar, Arusha, Kilimanjaro either waislamu wako 40% au nusu kwa nusu sijui yuko dunia gani!!!!
wewe unaota Waislam hata 10% hawafiki Kilimanjaro yaani changanya Wapare, Wachagga na Wamasai wakazi asili wa huko! mie nimeishi Kilimanjaro! na mtu anaposema ati waislam ni wengi zaidi ya Wakristo nimuulize hivi ni makabila yepi yana watu wengi zaidi Tanzania? na jibu ni Wasukuma, Wanyakyusa, Wahaya, Wahehe na Wachagga! na katika hao ni dini ipi ina waumini wengi miongoni mwao? nadhani jibu mnalo bila ubishi!
 
wewe unaota Waislam hata 10% hawafiki Kilimanjaro yaani changanya Wapare, Wachagga na Wamasai wakazi asili wa huko! mie nimeishi Kilimanjaro! na mtu anaposema ati waislam ni wengi zaidi ya Wakristo nimuulize hivi ni makabila yepi yana watu wengi zaidi Tanzania? na jibu ni Wasukuma, Wanyakyusa, Wahaya, Wahehe na Wachagga! na katika hao ni dini ipi ina waumini wengi miongoni mwao? nadhani jibu mnalo bila ubishi!
Unakusaidia nini wakiwa wengi...wengi wa wasukuma bado wanaamini uchawi..ni ukrsito huo
 
wewe unaota Waislam hata 10% hawafiki Kilimanjaro yaani changanya Wapare, Wachagga na Wamasai wakazi asili wa huko! mie nimeishi Kilimanjaro! na mtu anaposema ati waislam ni wengi zaidi ya Wakristo nimuulize hivi ni makabila yepi yana watu wengi zaidi Tanzania? na jibu ni Wasukuma, Wanyakyusa, Wahaya, Wahehe na Wachagga! na katika hao ni dini ipi ina waumini wengi miongoni mwao? nadhani jibu mnalo bila ubishi!

Yaani nakufagilia kweli, unajua hata mie nilikuwa nataka nimjibu kama wewe ulivyomjibu, Amini usiamini hata mkoa wa tabora wenyewe waislam si wengi kiasi ambacho watu wanafikiria, huo ndo ukweli umempatia. Waislam wako wengi mikoa ya pwani, na kigoma si mkoa mzima ni wa waislam.
 
Sheikh Basalehe ni kiongozi wa kidini mwenye hadhi kamili ya uongozi katika jamii ya waislam sawa na Pengo wa kanisa katoliki au mtikila wa kanisa li silo rasmi. kwahivyo basi anahaki ya kutoa maoni yake kama walivyoviongozi wengine wa kidini hapa nchini.

Kuhusu madai ya kuwa waislaam ndiyo wengi hapa nchini hayo ni sahihi kabisa wala hayana ubishi. kwani ushahidi wa jumla unadhihirisha kwamba zaidi ya 75% ya wakazi wa mijini ni waislaam na huko mashamba 45%. (source: Globa popolation statistics 1989, sectiohjn E&F EAST AFRICA REGION).

Kusema kwamba waislaam wajiandae kushika madaraka hilo sio kosa la jinai, ni tamko la kawaida na laweza kusemwa na pengo, Mtikila Kilaula nk.
Ndio maana umekuwa Fungu la Kukosa
 
Unakusaidia nini wakiwa wengi...wengi wa wasukuma bado wanaamini uchawi..ni ukrsito huo
si ndio mana Kikwete alishinda Urais kwa kura milion 5 na kati ya milion 19 za waliojiandikisha kupiga kura? halafu waliopiga walikuwa milioni 8 (42% haijawahi tokea Tanzania) tu!

Yaani chini ya nusu ya milioni 19 na kwa ujuha wake akatoa hotuba akasema Uchaguzi ulikuwa na udini wakati kila mtu ( Muislam nikiwamo mimi) alishuhudia misikiti ilitumika kwa kampeni! sasa kama wewe ni mtu mwenye akili nzuri unaweza ukang'amua alichomaanisha ni nini na msaada wa sisi watu wa Pasu kwa pasu kusaidia ufisadi ulikuwa vipi ukilinganisha na matarajio yake aliyokuwa nayo!

Hizo CIA statistics zina walakini Mkubwa! Wakati hazibadiliki tunashuhudia kila siku jinsi wenzetu Wakristo wanavyojikita vijijini na usambazaji wa dini! iwe kwa kupeleka huduma za Kiroho au Kimwili yaani hospitali na mashule!
 
kwa bahati nzuri makanisa yapo wazi kwa watu wote hata kwa waislamu. Waislamu karibuni kama mnatamani saana maisha ya kikristo. Wapo wenzenu wengi walishafanya maamuzi kama hayo na sasa ni wakristo. Kuwa mkristo ni uamuzi wa mtu yeyote. Mnakaribisha saana. lakini fungu la kumi (10%) ya mapato ya kila muumini huwa linasisitizwa kwa ajili ya maendeleo. haya maendeleo mnayoyaonea wivu ya wakristo yamepatika kwa jasho na wala sio propaganda.
 
Wewe Kilaza bweg Mtozeni...Mdondoaji...mimi nimetoa source...umeiona ..huna haja ya kusema nani muongo ...source yangu ni ya mwaka 2009....hujasema source yako ni ya lini......!.. afteral idadi its immaterial kwenye nchi yetu...ila nimejaribu kukuonesheni tu kuwa kuna tafiti zinafanyika ..na ziko against matamshi ya wapiga makelele kama wewe au huyo Basalah....mnayemuita sijui nani...
Umetaja mikoa hapa lakini huna any research findings za kuanisha maneno yako.........utafiti uliofanyika na idara ya historia Oxford ....unaonesha wazi kuwa Uislamu Ulienea mwanzoni Tanganyika kwenye SLAVE CARAVAN ROUTE.......ndio maana mikoa ya KIGOMA,TABORA[hadi sehemu za singida],baadhi ya sehemu za dodoma,na Pwani [zamani dar,pwani,na kipande cha morogoro].....huko ndiko uislamu uliingia ....halafu kuna route ya mwambao ambako uislamu uliingia miaka ya 1300...[mombasa]Tanga,zanzibar,bagamoyo[dar],Kilwa[it was very important city in islam],lindi,mtwara...
Itambulike kuwa waislamu walikuwa wa mwanzo kufika ...lakini udhaifu wao na ambao hadi sasa unaendelea katika haya maeneo mengo niliyotaja ...walipenda kubakia kwenye miji ...ya maeneo hayo.....wakati wenzao wamisionari walivyofika walifikia Pwani lakini hawakuangaika na Pwani....walienda moja kwa moja ndani kabisa kueneza dini....mikoa ya bara ulioitaja walifika waislamu wachache miaka ya mwanzo ambao wengi walikuwa wafanya biashara...MFANO Arusha ..wengi wanaishi kati kati ya miji...Kilimanjaro wapo mjini pale ,machame wapo,Mwanga Na Same wapo ....hasa dini hapa ilisambaa toka Tanga....especialy kwa kufuata njia ya reli ambako miaka hiyo biashara ilikuwa imepamba moto.....kwenye mashamba ya Mkonge..ambako mashamba yalienea toka Tanga Hado SAME /mwanga[zamani wilaya ya Pare].....
Hata hapa Dar bado waislamu wengi hawataki/hawapendi kuishi nje ya mji...ukiacha wachache ambao wameendelea .....wengi wanapenda kuishi maeneo yenye waislamu wengi...nadhani hii pia inatokana na mahitaji ya kuwa karibu na nyumba za ibada.....pemebezoni mwa jiji tu ni nadra kuona msikiti.....kuacha ambayo iko pembezoni mwa barabara kuu za kuingia jijini...ukiingia ndani kwenye vitongoji wachache wanaoishi huko hupata taabu kufikia nyumba za ibada.......

Source yangu ni CIA hadi jana 29 January, 2011 figures ziko pale pale ukitaka usitake kazibadilishe basi kama unaweza acha kudanganya umma ndio maana nakuambia muongo. Hizo figures unazozisema ni estimate na from your own source wanasema hivi nanukuu,

"The country has an area of 364,900 square miles and a population of 40 million, of which 38.8 million live on the mainland and 1.2 million on the Zanzibar archipelago, which has a president and semiautonomous political structure separate from the mainland political system. The Government does not gather religious identification data in its census as a matter of policy. However, recent information suggests that 62 percent of the population is Christian, 35 percent is Muslim, and 3 percent are members of other religious groups".

Acha kupotosha watu usifikiri hapa JF kila mtu mjinga. Umezungumzia Arusha, Kilimanjaro but umesahau sehemu za Kilimanjaro mfano Machame, Same, Moshi Mjini kuna waislamu wengi, Pia maeneo haya kuna watu kama waarabu, wahindi (wapakistani) waliohamia tangia zama za ukoloni na kuishi humo. Pia sehemu za Tabora, na Kigoma irrespective of the slave trade population ni 90% if not zaidi ni waislamu . Achana na historia yako ya chuki sisi tunazungumzia nani majority na ukweli waislamu ni wengi msitake kutufanya wajinga hapa.
 
wewe unaota Waislam hata 10% hawafiki Kilimanjaro yaani changanya Wapare, Wachagga na Wamasai wakazi asili wa huko! mie nimeishi Kilimanjaro! na mtu anaposema ati waislam ni wengi zaidi ya Wakristo nimuulize hivi ni makabila yepi yana watu wengi zaidi Tanzania? na jibu ni Wasukuma, Wanyakyusa, Wahaya, Wahehe na Wachagga! na katika hao ni dini ipi ina waumini wengi miongoni mwao? nadhani jibu mnalo bila ubishi!

Sawa naota nenda Same, Machame, Moshi mjini utajua nazungumza nini usibishe fanya research kwanza. Kilimanjaro unaona ni Wachaga na Wapare tu unaota kweli wewe!!!! Kwanza wamasai ni wahamiaji sio watu wa Kilimanjaro. Asilia yao ni Manyara na Arusha. Kilimanjaro kuna Wamachame, Wapare, Wachaga, Warombo fanya kwanza utafiti, na katika haya makabila jiulize waislamu wangapi au kwakuwa wewe mkristo basi kila mtu mkristo. Mimi naifahamu mikoa hii kuliko unavyojua.

Umesema wahehe unachemsha kweli kawaulize wahehe nani wengi kati ya wakristo na waislamu? Jibu utalipata, Bado mbona hujasema mikoa ya Lindi, Pwani, Mtwara, Dar-es-Salaam, Tanga au unajua jibu lake lipi? Hebu fatilia kura za Professa Lipumba na Kikwete zimetokea wapi ndio jibu utalijua.
 
Source yangu ni hadi jana 29 January, 2011 figures ziko pale pale ukitaka usitake kazibadilishe basi kama unaweza acha kudanganya umma ndio maana nakuambia muongo. Hizo figures unazozisema ni estimate na from your own source wanasema hivi nanukuu,

"The country has an area of 364,900 square miles and a population of 40 million, of which 38.8 million live on the mainland and 1.2 million on the Zanzibar archipelago, which has a president and semiautonomous political structure separate from the mainland political system. The Government does not gather religious identification data in its census as a matter of policy. However, recent information suggests that 62 percent of the population is Christian, 35 percent is Muslim, and 3 percent are members of other religious groups".

Acha kupotosha watu usifikiri hapa JF kila mtu mjinga. Umezungumzia Arusha, Kilimanjaro but umesahau sehemu za Kilimanjaro mfano Machame, Same, Moshi Mjini kuna waislamu wengi, Pia maeneo haya kuna watu kama waarabu, wahindi (wapakistani) waliohamia tangia zama za ukoloni na kuishi humo. Pia sehemu za Tabora, na Kigoma irrespective of the slave trade population ni 90% if not zaidi ni waislamu . Achana na historia yako ya chuki sisi tunazungumzia nani majority na ukweli waislamu ni wengi msitake kutufanya wajinga hapa.


mbona data zako ni tofauti na maelezo yako??
 
si ndio mana Kikwete alishinda Urais kwa kura milion 5 na kati ya milion 19 za waliojiandikisha kupiga kura? halafu waliopiga walikuwa milioni 8 (42% haijawahi tokea Tanzania) tu! yaani chini ya nusu ya milioni 19 na kwa ujuha wake akatoa hotuba akasema Uchaguzi ulikuwa na udini wakati kila mtu ( Muislam nikiwamo mimi) alishuhudia misikiti ilitumika kwa kampeni! sasa kama wewe ni mtu mwenye akili nzuri unaweza ukang'amua alichomaanisha ni nini na msaada wa sisi watu wa Pasu kwa pasu kusaidia ufisadi ulikuwa vipi ukilinganisha na matarajio yake aliyokuwa nayo! Hizo CIA statistics zina walakini Mkubwa! Wakati hazibadiliki tunashuhudia kila siku jinsi wenzetu Wakristo wanavyojikita vijijini na usambazaji wa dini! iwe kwa kupeleka huduma za Kiroho au Kimwili yaani hospitali na mashule!

Kazibadilisheni basi hizo figure za CIA. Kuna rafiki yangu yuko Nationa Bureau of Statistics alinidondolea kuwa utafiti ulifanyika karibu kuhusu population, figures za religion Tanzania ikagundulika waislamu ni 40% wakataa kutoa figures za religion in Tanzania kwakuwa ni sensitive issue. hahaha mnafurahisha sana nyie na ndoto zenu.
 
Kipindi cjha JUKWAA LA ASIYE NA JUKWAA Radio Kheri 104.10MHz kila Jumapili saa tatu na nusu usiku kina kila daliili za kuhamasisha vurugu. Sheikh Bassalleh huwa ni mtoa mada mkuu katika kipindi hiki. Kwa mara nyingi amekuwa akirudia rudia na kuwaaminisha wasikilizaji wake kuwa waislamu ndiyo wengi (bila kutoa takwimu) Tanganyika na kwa hali hii wanatakiwa wawe wameshika usukani katika kila nyanja na wasikubali "kuonewa". Wana JF mnasemaje juu ya hili?

Huwezi kushika madaraka kwa elimu ya madrasa.
 
tangu al quida alipue marekani wengi walishajiunga na ukiristo wengi kwa hiyo data zinabadilika kila siku,wakristo wanaongezeka, baada ya miaka mitano christian (80%), muslim (20%). Pale kijijini kwangu familia kubwa pekee ya kiislamu pale kijijini walikua wameacha na sasa ni wakristo baada ya baba yao aliyekuwa mganga wa kienyeji kufariki.
 
Kamjibu Philemon mikael aliyeandika upupu wake hapo juu. Nadhani mleta mada ameianzisha kwa nia ya kuleta uchochezi kwani anajua watakuja watu wenye IQ ndogo kama akina Mikael wataanza kuandika vitu vyao vya ajabu eti vijijini hakuna anayejua waislamu ameenda Lindi, Mtwara, Dodoma, Iringa, Tabora, Tanga, Pwani, Kigoma, Zanzibar, Mafia huku kote unakuta waislamu ni zaidi ya asilimia 60 kama sio 80 yeye anasema eti uislamu uko mjini, mikoa mengine kama Dar, Arusha, Kilimanjaro either waislamu wako 40% au nusu kwa nusu sijui yuko dunia gani!!!!
Mikoa na wilaya ulizotaja hapo juu inawezekana kweli waislamu wakawa wengi kuliko, isipokuwa Dodoma na Iringa, lakini pia hiyo mikoa contribution ya popn yao kwa Tanzania nzima haifiii hata asilimia 30, Kwa mfano kanda ya ziwa ukiondoa Kagera mikoa iliyobaki inawakiristo wengi zaidi na ni good contributor katika popn ya watanzania kwa ujumla. Yote ya yote mie nafikiri tuache kuangalia uislamu na ukiristo maana haitusaidii sana, tuangalia kwa pamoja tutajengaje nchi yetu.
 
kwa bahati nzuri makanisa yapo wazi kwa watu wote hata kwa waislamu. Waislamu karibuni kama mnatamani saana maisha ya kikristo. Wapo wenzenu wengi walishafanya maamuzi kama hayo na sasa ni wakristo. Kuwa mkristo ni uamuzi wa mtu yeyote. Mnakaribisha saana. lakini fungu la kumi (10%) ya mapato ya kila muumini huwa linasisitizwa kwa ajili ya maendeleo. haya maendeleo mnayoyaonea wivu ya wakristo yamepatika kwa jasho na wala sio propaganda.
ndio mnavyotangaza dini siku hizi? (conditinalities)
 
Mikoa na wilaya ulizotaja hapo juu inawezekana kweli waislamu wakawa wengi kuliko, isipokuwa Dodoma na Iringa, lakini pia hiyo mikoa contribution ya popn yao kwa Tanzania nzima haifiii hata asilimia 30, Kwa mfano kanda ya ziwa ukiondoa Kagera mikoa iliyobaki inawakiristo wengi zaidi na ni good contributor katika popn ya watanzania kwa ujumla. Yote ya yote mie nafikiri tuache kuangalia uislamu na ukiristo maana haitusaidii sana, tuangalia kwa pamoja tutajengaje nchi yetu.
hata Kagera wakristo ni Wengi zaidi Waislam tupo mijini tu! ukiingia vijijini hatupo juhudi zinahitajika na si kubwabwaja
 
tangu al quida alipue marekani wengi walishajiunga na ukiristo wengi kwa hiyo data zinabadilika kila siku,wakristo wanaongezeka, baada ya miaka mitano christian (80%), muslim (20%). Pale kijijini kwangu familia kubwa pekee ya kiislamu pale kijijini walikua wameacha na sasa ni wakristo baada ya baba yao aliyekuwa mganga wa kienyeji kufariki.

fanyeni bidii ..fainali uzeeni
 
Sawa naota nenda Same, Machame, Moshi mjini utajua nazungumza nini usibishe fanya research kwanza. Kilimanjaro unaona ni Wachaga na Wapare tu unaota kweli wewe!!!! Kwanza wamasai ni wahamiaji sio watu wa Kilimanjaro. Asilia yao ni Manyara na Arusha. Kilimanjaro kuna Wamachame, Wapare, Wachaga, Warombo fanya kwanza utafiti, na katika haya makabila jiulize waislamu wangapi au kwakuwa wewe mkristo basi kila mtu mkristo. Mimi naifahamu mikoa hii kuliko unavyojua.

Umesema wahehe unachemsha kweli kawaulize wahehe nani wengi kati ya wakristo na waislamu? Jibu utalipata, Bado mbona hujasema mikoa ya Lindi, Pwani, Mtwara, Dar-es-Salaam, Tanga au unajua jibu lake lipi? Hebu fatilia kura za Professa Lipumba na Kikwete zimetokea wapi ndio jibu utalijua.
fanya utafiti mkuu hata kwa Wapare wenyewe still Wakristo bado wengi hapo Same ni idadi ndogo ukilinganisha na wenzetu wakristo! Same nzima haizidi watu 250, 000! Huko Machame ndo usiongee kabisa hata 5% hatufiki kati ya watu karibu na 270,000 waliopo huko Hai! labda Moshi mjini lets say tuko 15% ya watu 150,000 maana Kilimanjaro watu wengi wapo Vijijini zaidi ya Moshi Mjini kwa taarifa yako Mkuu! Na ukija sehemu nyingine ndo usiongee kabisaa maana huko wenzetu ni over 95%! angalia sensa Mkuu!
 
Back
Top Bottom