You are messing up with jesus mkuu????Bullshit.
Hakuna albadiri. Hakuna cha mungu. Hakuna cha mtume wala yesu.
Yote hayo ni riwaya za kufikirika tu.
Punguza Jeuri
Ova
Kwanini waizuie?Hiyo albadiri ni upuuzi tu. Haipo. Haifanyi kazi. Ni upumbavu mtupu.
Kwanini waizuie?
Vipi maombi kwa ajili ya Lissu jpil kuzuiwa nao ni upuuzi?
Amka usingizini mkuu achana na CCM
Iko mtu moja kila siku inasema,"muniombee", sasa kama polisi inapiga marufuku maombezi, titawezaje kuiombea hiyo "mtu"?Tunakokwenda tutakatazwa kwenda hata makanisani na misikitini
Wewe jamaa usa inakufanya ujione upo juu ya kila kitu mnajifanya kushabikia kupigwa risasi kwa lissu kama vile mtaishi milele ni suala la muda tu wote tutaungana kuzimu haijalishi unaishi wapi pambaf weweNani anayeogopa?
Wewe jamaa usa inakufanya ujione upo juu ya kila kitu mnajifanya kushabikia kupigwa risasi kwa lissu kama vile mtaishi milele ni suala la muda tu wote tutaungana kuzimu haijalishi unaishi wapi pambaf wewe
Serikali haiogopi mambo ya kiimani, wenye serikali ndio wanaogopaDuuu kweli wakati mwingine nashindwa kuelewa imani nyingine. Seriously mtu anaaogopa albadir kwamba itamdhuru? Hii ina maana serekali inaoopa mambo ya kiimani ambayo hayana ushahidi wa kisayansi.
Sishangai sana maana kuna viongozi wetu wengi akiwemo mkulu wa sasa walienda kupata kikombe cha babu.
Ndio maana huwa tunasema viongozi wetu wengi wanaamini ushirikina mbali ya kujidai wana elimu kubwa.
Serikali haiogopi mambo ya kiimani, wenye serikali ndio wanaogopa
Hiyo albadiri ni upuuzi tu. Haipo. Haifanyi kazi. Ni upumbavu mtupu.