HAPANA
ni kweli maana Kuna miungu kwahiyo Kama no hiyo miungu no sahihi kwakeinategemea anamzungumzia Mungu gani hasa.
Huyo ni sawa na kina Gwajima, na wale wachungaji matapeli. Bakwata na watu wake haina ridha ya waislamu, iligomewa tokea enzi ya nyerereAlhad Musa ni sheikh wa mkoa wote wa Dsm........Hajakurupuka!
Huyu hapaSheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Wewe na huyu Shekhe watu wamoja. Siwezi kutukana dini ya mtu.Twende taratibu, Sheikh wenu kasema Mungu ameibariki rangi ya kijani inayotumiwa na CCM,
tunahitaji reference ya maandiko tujiridhishe.
YANGA OYEEEEEEEEE
Uislamu ni dini ya amani bwashee!
Amenukuu maandiko bwashee!
Tumekuumbua ili ujue kwamba ulichokileta hakijawahi kuwa kipyaUislamu ni dini ya amani bwashee!
Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza sana kwanini CCM inabarikiwa sana, sasa ndio nimepata jibu, kumbe ni shauri ya ile rangi ya kijani!. Ndio maana CCM itatawa Tanzania milele!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Sheikh wa mkoa wa Dsm Alhad Musa Salum amesema CCM imepewa upendeleo na mwenyezi Mungu kwa sababu wanatumia rangi ya kijani ambayo ndio rangi pekee iliyobarikiwa na Mungu.
Alhad Musa amesema hayo wakati akiiombea dua CCM katika katika sherehe za miaka 43 ya chama hicho inayofanyika kitaifa jijini Dsm leo.
Mgeni wa heshima ni mama Samia Suluhu, makamu wa Rais wa JMT
Source: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Kina upya gani wakati ndicho anachohubiri dr shoo huko ufipa ila bwashee show hana mistari ya maandiko ya kuegemea!Tumekuumbua ili ujue kwamba ulichokileta hakijawahi kuwa kipya
Ndio, alinukuu aya husika!Naona shekhe anauza dini ili kushibisha tumbo. Tulivyofundishwa katika dini yetu ya Kiislamu ni kuwa kwa kila ukishemacho juu ya dini ni lazima unukuu kutoka katika Qur-an takatifu au kutoka katika Hadithi za mtume Muhammed (S.A.W) kama ni uthibitisho wa kweli, jee sheikh Musa ameweza kufanya hivyo?
endelea kupanua magoliKina upya gani wakati ndicho anachohubiri dr shoo huko ufipa ila bwashee show hana mistari ya maandiko ya kuegemea!
Daudi mchokozi sana wewe...hahahahahaokey FaizaFoxy tusaidie hapa andiko linaloonyesha Allah amebariki rangi ya kijani.
Walifanya ugaidi sehemgani jee unao ushahidi kama wale ni magaidi???Awatetee magaidi!