CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,567
- 1,375
Wana ngoja nini si wayateketeze kwa moto tuu....Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Mkinga imekamata shehena ya mafuta ya Taa kutoka nchi jirani ya Kenya
Choma moto tuu.....tumechoka
Tz si shamba la bibi