nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,198
- 1,595
Baada ya Serikali kuzitaka nyumba za ibada Kimara zilizo katika hifadhi ya barabara kubomoa wenyewe kabla hawajabomolewa na serikali.
Serikali imesema endapo wasipobomoa wenyewe Serikali itawabomolea kwa lazima na gharama hizo watalipa wao wenye msikiti.
Viongozi wa msikiti wameapa hawatabomoa msikiti na hawatalipa hizo gharama kwasababu msikiti sio mali yao ni wa ALLAH na watawapa namba za mwenye msikiti ALLAH ili wampigie awalipe hizo gharama.
Chanzo: Channel ten
Serikali imesema endapo wasipobomoa wenyewe Serikali itawabomolea kwa lazima na gharama hizo watalipa wao wenye msikiti.
Viongozi wa msikiti wameapa hawatabomoa msikiti na hawatalipa hizo gharama kwasababu msikiti sio mali yao ni wa ALLAH na watawapa namba za mwenye msikiti ALLAH ili wampigie awalipe hizo gharama.
Chanzo: Channel ten