Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,607
- 218,023
Kwanza niwatakie Baraka za Idd El Fitri waislam wote duniani na hasa waislam wa hapa JF.
Kingine ni kuomba kufahamishwa kama swali langu linavyouliza, huyu Musa Salum mbona miaka yote ni yeye tu anayetajwa kuwa Shehe wa Mkoa wa DSM, hakuna wengine? Je alichaguliwa na Waislam au aliteuliwa tu?
Msingi wa swali hili ni kutaka kujua tu wala si kitu kingine.
Naomba kuwasilisha
Kingine ni kuomba kufahamishwa kama swali langu linavyouliza, huyu Musa Salum mbona miaka yote ni yeye tu anayetajwa kuwa Shehe wa Mkoa wa DSM, hakuna wengine? Je alichaguliwa na Waislam au aliteuliwa tu?
Msingi wa swali hili ni kutaka kujua tu wala si kitu kingine.
Naomba kuwasilisha