Shauria Mema
New Member
- Oct 19, 2011
- 2
- 1
Hivi mtu huwa anapewaje ushehe. Al shabab wanaua watu hovyo na kuteka mali unasema wanalinda mipaka ya nchi. Wanalinda mipaka ya nchi gani, maana hata Somalia kwenyewe hawa jamaa wanaua watu tu. Mimi mbona simwelewi huyu Shehe.