Nimsaidie kufafanua.Fafanua unamaanisha nini, maana walokole bana. Sijui wana tatizo gani? Kama kitu hakikuhusu tulia.. sio lazima ucoment
Umejuaje? Wewe ni ghost wa jf
Sio tu utani ktk imani za watu lakini pia si busara kwa mwanadamu mwenye dhamiri hai kuingiza utani ktk masuala ya UMAUTI.Ungepita kimya ingefaa zaidi..si busara kuingiza utani kwenye imani za watu
Kuna watu akili zao zimekaa papaya kaka.Duh!!!
InshallahMfuasi wa mudi huyu..atakutana na mabikira 40 kama alivosema kipoozeo
Kufa angekufa ila angeenda Mbinguni kwa Baba. Sasa anaenda motoni mwa milele ambako shetani al lah atamrudishia yale mawe alompiga nayo kule makka.Madai yako angemfuata Yesu(angekuwa mkristo) asingekufa?
Tushawazoe na chokochoko zenu hakuna jipya hapo.
Mkuu tuna amini kabisa kwa uwezo wako wakutumia japo hiyo simu yako bila shaka ni mtu mzima hebu jitafakari Mara mbili kwa andiko lako then angalia uwezo wako wa kufikiri sio kila kitu lazima ucoment ifike mahali muwe na akili timamu muone uso wake baba mzima hujiheshimu bhn!inawezekana alisahau kufuturu. RIP anyway
Unajiandaaje kwa mfano!!!!!Pia analeta kebihi kwenye suala la msiba hajuwi kifo ni suala la kujitafakari sisi tulobaki je tumejiandaa vp ktk safari yetu?