Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Hahahah hata kama sipo pekeyangu ila mi siwezi gombania mademu mtaani. I got mad respect for that! Sijawahi kuwa na scandal ya kutongoza hata vitoto mtaani. Nahisi wananionaga ni bro flani serious sana maana sinaga story na mtu.Hivi basta Kwanini unataka kuudanganya ulimwengu wewe...
Hao wanawake uliowahi kuwa nao au ambao unayo,unauhakika gani uko uko peke yako brother.
Kuwa mpole tu kama unaamini uko peke yako basi ni jambo la kheri na uendelee kumshukuru Mungu