Mkuu mke yule vipi?..ushampata?..Mbona hatupeani feedback ndugu yanguTo... Mba, u... To.. Mbewe hiyo inaitwa.
Kama huyu mwanamke unadhani una haki ya kumchukua sababu umemzidi jamaa yake na kweli kwako demu akaja kwa sababu hiyo, jua kuna wahuni watamsomba pia sababu wapo wengi tu ambao wamekuzidi nawe kila kitu..
Kama unahisi unampenda kweli, unamuhitaji kwa dhati, muibukie lakini sio umfate sababu unaona jamaa yake unamzidi kwa kila kitu.
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
NimekuelewaHahahah bora mkuu umetoa ushuhuda, kuna lugha niliitumia kwamba pesa itafanya yote ila haiwezi nunua hisia za manzi. Kama demu hajakufeel mwenyewe hata ukimroga na pesa still atakuwa anahisia na jamaa uliyempora.
Demu atakuja kwako kula hela tu ila kimapenzi hamuwezi kuwa sawa.
khaaaaah lolkuna watu huwa wanaitafuta 'mikuyenge' kwa lazima
ushawahiwa wewe tafuta wako
Umeongea vizur saaanaTo... Mba, u... To.. Mbewe hiyo inaitwa.
Kama huyu mwanamke unadhani una haki ya kumchukua sababu umemzidi jamaa yake na kweli kwako demu akaja kwa sababu hiyo, jua kuna wahuni watamsomba pia sababu wapo wengi tu ambao wamekuzidi nawe kila kitu..
Kama unahisi unampenda kweli, unamuhitaji kwa dhati, muibukie lakini sio umfate sababu unaona jamaa yake unamzidi kwa kila kitu.
Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Amuoe ila chalii ataendelea kula kama kawaKama unampango wa kumuoa,chukua mzigo huenda ukamsaidia huyo jamaa yake,ukute hana uwezo wa kumuoa,anatamani demu apate mtu sahihi aolewe.
CoolKwa maelezo yako unaonekana una upeo mdogo sana au mtu wa misifa. Una uhakika gani kama umemzidi huyo chalii kwa kila kitu?
Vitu kama ni vya kufuta havina maana kabisaHope mko poa
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna mdada mmoja ni mzuri kweli black beuty, bado mdogo tu ni early 20's.
Nimetokea kukubali Sana uyo dada, nilipanga nimuendee. Badae nimegundua yupo kwenye mahusiano na chalii mmoja tena ni jirani yangu uyo chalii.
Uyo dada anapitaga karibu na ofisi yangu, tuna mazoea ya kawaida maana nina muda mfupi toka nihamie hapo. Nimemkubali Sana uyo dada Ila muda mwingine kumnyanganya mtu mpenzi naona sio poa.
Jamaa wa uyo dada nimemzidi kila kitu Elimu, kipato n.k Sasa muda mwingine nawaza nkimtokea huyu dada afu badae aje amdump mpenzi wake, jamaa atanifikiliaje?
Wakuu nimempenda Sana huyo dada, je nimtokee ,yule mshikaji wake akiachwa apambane na hali yake au niwe tu civilized man nisiharibu mahusiano ya watu.
Msaada please
N.B comments za kijinga sitaki
Ndugu yangu, niko on process, swala sio jepesi km nilivyofikiri(nilifikiri ni paaap unapata, unaweka ndani)Mkuu mke yule vipi?..ushampata?..Mbona hatupeani feedback ndugu yangu
Hivi basta Kwanini unataka kuudanganya ulimwengu wewe...Kumbe hata wanawake mnabariki huu uhuni. Mi siwezi kumpora dogo demu wake aisee im too smart for that shit. Uanze kugombania demu na dogo wa mtaani...what the heck!!!
Ingia umsaidie huyo Dada,sipendag kuona MTOTO mzuri yupo katika mikonoJamaa yake choka mbaya, hana jipya ila mapenzi ya watu ni vigumu kuya judge
Hapo ndo tatzoAmuoe ila chalii ataendelea kula kama kawa
Mtazamo upi coca maana hiyo comment inamtazamo zaidi ya mmojaYaan kuna m2 ana fikra na mtazamo km wako, huwa simuelewagi yaan wallah iv.
Hutaki comments za kijinga halafu unaanzisha uzi wa kijinga, hebu jipime kama upo sawa bwasheeHope mko poa
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna mdada mmoja ni mzuri kweli black beuty, bado mdogo tu ni early 20's.
Nimetokea kukubali Sana uyo dada, nilipanga nimuendee. Badae nimegundua yupo kwenye mahusiano na chalii mmoja tena ni jirani yangu uyo chalii.
Uyo dada anapitaga karibu na ofisi yangu, tuna mazoea ya kawaida maana nina muda mfupi toka nihamie hapo. Nimemkubali Sana uyo dada Ila muda mwingine kumnyanganya mtu mpenzi naona sio poa.
Jamaa wa uyo dada nimemzidi kila kitu Elimu, kipato n.k Sasa muda mwingine nawaza nkimtokea huyu dada afu badae aje amdump mpenzi wake, jamaa atanifikiliaje?
Wakuu nimempenda Sana huyo dada, je nimtokee ,yule mshikaji wake akiachwa apambane na hali yake au niwe tu civilized man nisiharibu mahusiano ya watu.
Msaada please
N.B comments za kijinga sitaki